tag:blogger.com,1999:blog-33812372611635946502024-03-05T15:28:44.106-08:00DUNIA INAMAMBO YA AJABUUWAKE WASAGANA NA WAUME WAOANA INAYISHA HALI HII TUBADILIKENI KUNA NGOMA ITAPASUKAAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.comBlogger25125tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-71258229157460215022007-05-22T02:43:00.001-07:002007-05-22T02:45:32.675-07:00Aisha Mbaga<br /><br />MbagaMambo vupi mpenzi msomaji wa safu hii ya mahaba? natumai kwa uwezo wa Mungu amekujaalia pumzi na umzima wa afya hapo ulipo unaungana nami katika mambo ya mahaba.<br />kama ilivyo ada ya mapenzi kuwa ni makubaliano kati ya wawili basihakuna haja ya kulazimishana katika kufanya mapenzi, hii ndiyo mada yetu ya leo.<br />Ukipendana na mtu kwa dhati, mtaheshimiana, hutafanya kitu chochote cha kumwuudhi au kumwuumiza, hutamlazimisha mwenzio kufanya kitu ambacho hapendi au hataki na wakati wote utataka kumfurahisha.<br />Kitu kimojawapo ambacho kitakutokea wakati unakua ni kuwa na mpenzi aliyekuingia moyoni au kupata mapenzi mazito.<br />Kumpenda mtu kunaweza kuwa kuzuri. Lakini mara nyingine kunaweza kukuchanganya akili hususan yanapojitokeza mambo ya kufanya mapenzi.<br />Wapo ambao wanafurahia mapenzi kwa kuwa wanapendana na wenzi wao lakini pia wapo wanaotamani kufa ama kujuta kuzaliwa kwa kuwana wapenzi ambao hawajatulia.<br />Ili kuepukana na majonzi hakikisha kuwa unayempenda naye anakupenda kisha hana papara ya ngono.<br />lama kwli anakupenda atakuvumilia nawe hakikisha kuwa unakuwa na msimamo wa kutofanya ngono hadi uwe tayari. ZIngatia mambo yafuatayo ikimpata mpenzi ili kuhakikisha kuwa unamsoma na kuupa moyo wako nafasi ya kufanya maamuzi.<br />LAZIMA MFANYE NGONOUkiwa na mpenzi unayempenda kwa dhati haina maana kwamba ni lazima mfanye nae mapenzi. Kitendo cha kufanya mapenzi kinatakiwa kiheshimiwe na kipewe hadhi yake kwa hivyo usikiendee kwa papara!<br />SUBIRI mpaka ukiwa tayari kimaumbile na kimawazo. Unaweza kuanza kufanya mapenzi ukiwa katika mapenzi ya dhati na ambayo unayaona yanaweza kumudu vishindo vyote.<br />USIKUBALI KUDANGANYWAUkiangalia filamu karibu zote zinazooneshwa siku hizi au ukizungumza na marafiki zako unafikiria kwamba kila mtu anafanya mapenzi wakati wote. Hii sio kweli kabisa! Watu wengi wanasubiri mpaka watakapokuwa watu wazima au wakishaolewa au kuoa.<br />EPUKA UONGO KATIKA MAPENZIUwapo utaweza kuwa mkweli kwa huyo unayemtarajia, ni wazi kuwa mnaweza kuelewana na ni rahisi sana kugundua tabua zake kwa kuwa wakati wote utakuwa mwazi kwake naye atajutahidu kuwa wazi na ukiona mpenzi wako ni mwongo basi hakufai tafuta njia ya kumfanya awe mkweli ama heri kukaa na kumtafuta mkweli kwani baadae unaweza kujutia mahusiano yako.<br />Unaweza kumpenda mpenzi wako na kuamua kutofanya naye mapenzi. Kama mpenzi wako anakupenda kwa dhati basi ataheshimu uamuzi wako na atakuwa mkweli kwako ikiwa ni pamoja na kukutunzia heshma yako.<br />pamoja na mila na desturi za Waafrika, mwanamke ameonekana kwa yeye ndiye anayelazimishwa kufanya ngono wakati hawako tayari, Hata wavulana wanalazimishwa kufanya mapenzi na wapenzi wao au hata marafiki zao. Sio vizuri kwa marafiki kuwashawishi wasichana au wavulana kufanya mapenzi wakati wao hawako tayari.<br />basi kwa leo tuoshie hapa ila usisahau kujiunga nami wiki ijayo,kwa waswaki na maoni wasiliana namoi kwa barua pepe yangu <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a>.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-79001957328049728342007-05-22T02:38:00.000-07:002007-05-22T02:40:18.740-07:00Na Aisha Mbaga<br />Mambo vipi msomaji wangu wa safu ya Mahaba? Natumai kwa uwezo wa Mwenyezii Mungu umzima wa afya na waendelea vyema katika maandalizi ya mwanzo wa wiki.<br />natumai wiki iliyopita tuliangalia jinsi ya maandalizi ya wakati wa tendo la kujamiaana.<br />ninaimani nimeeleweka kwa wale waelewa. nawashukuru walionipigia simu kunipongeza na kunitaka ushauri.<br />Dada yangu salha wa Arusha ananiuliza jinsi ya kumlea Mwanaume, usijali, Salha kwani mwanaume mbele ya mwanamke ni sawa na mtoto mdopgo, waweza mliza upendavyo ila unachotakiwa ni kuwa mbunifu.<br />Leo tutazingumzia mambo muhimu katika kufikisha hisia zako. wapo baadhi ya watu hawawezi kumweleza mwanaume ukweli kuwa anampenda na matokeo anabaki akiumia bila kujua la kufanya. kwa upende wangu mimi sioni aibu endapo najikuta nipo penzini nakiwa mwazi.<br />jambo la kufanya kwa mwanaume umpendaye naye hajui kuwa unampenda, kwanza mwambie kama uwezo wa kufanya hivyo unao. wapo wanawake jasiri kwa kuweka mambo bayana na kujikuta wengine wanafanikiwa kutatua matatizo yao. baadhi ya watu wanaamini kuwa, kumweleza mwanaume ukweli kuwa unampenda ni utamaduni wa wazungu, mimi naamini kuwa katika hisia hakuna mzungu wala mwafrika.<br />Endpo huwezi kuweka mambo bayana tumia nwiki wako kuhakikisha kuwa unamteka mwanaume huyo kwa kumtega kwa kutumia njia tano muhimu<br />njia ya kwanza kuweza kumtega mwanaume ni mavazi.<br />unaweza kumtega mwanaume unayempenda kw akuimia mavazi, jaribu kuvaa vivazi vya kumvutia na kumfanya atahamaki kwa kukuwaza kila amapo kumbuka kivazi chako.<br />fanua jitikada za kujipitisha pitisha kila mara kwake huku ukiwa na vizawadi ambavyo vitamfanya awe rafuki yako na kumweleza wazi kuwa unapenda kuwa karibu naye hatakama hataki kuwa mpenzi wako.<br />jia ya pili, pendelea kutoka naye kila wakati ikiwa ni moja ya njia ya kumhamasisha na utokapo kuwa unamshangaza kwa kumpa zawadi ama kumwandalia chakila maakum ambacho unauhakika atakipenda na kitamvutia.<br />tumia sauti yako katika mazungumzo ili aweze kuvutika nayo kwani katika mahusiano, sauti inaweza kuchukua nafasi kumshawishi mwanaume na kujikuta akiiwaza na kuingia mtegoni.<br />pia hakikisha kuwa macho yako yanazungumza kwa kumtazama na kila ayaonapo ataona vimrlea vya mapenzi ndani ya mboni ya jicho lako na kujikuta kuwa anasogea karibu na wakati mwingine anaweza kukushangaza kwa kukuambia kuwa anakupenda japo hakuwa tayari kuwa na wewe.<br />wakati mwingine si lazima mwanaume aanza kupenda hata wanawake wanapenda na wananafasi ya kuonyesha mapenzi yao na kuhangaika hadi kufanikisha penzi lake kw ayule ampendae.<br />kwa leo tuishie hapo na usikose kuungana nami wiki ijayo. Alamsiki<br />kwa maoni na ushauri wasiliana nami kwa simu 0755690690, ama barua pepe yangu <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a> pia unaweza kupitia website yangu, mudysaa.blogspot.comAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-45928006286957969372007-05-13T03:58:00.000-07:002008-12-11T09:11:34.476-08:00<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSeCJaO2n-ddOd-sfTmqUEulUgQMFgS14vMjLXHPf7o6OgTQyF-H9Yw8KZRmf9j2KjY8ELJ5XJqJ24jAlcfHPgivbWmsvgnweM-cxedsYwEoaW-QpPURd9ihkheb4qbaiFOCfTpAiPvmY/s1600-h/aisha+2.jpg"><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5063998224730754114" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSeCJaO2n-ddOd-sfTmqUEulUgQMFgS14vMjLXHPf7o6OgTQyF-H9Yw8KZRmf9j2KjY8ELJ5XJqJ24jAlcfHPgivbWmsvgnweM-cxedsYwEoaW-QpPURd9ihkheb4qbaiFOCfTpAiPvmY/s400/aisha+2.jpg" border="0" /></a><br /><div></div><br />"UKIWEZA FANYA UNACHOKITAKA" Usikubali kurudishwa nyuma.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-18769486020334726752007-05-13T03:52:00.000-07:002008-12-11T09:11:34.646-08:00<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiDNtXu6XFu0O8Eg766G_aP2e5fLG9zfcLPGCQfoj3hcH1vT-A1gBsX-W7b4_5Ik6iYkwRg4H4PWKto0bZBvcY34TS53O24taskFfpWI2zs-zUQ5_7bytG2OGCL5-txC9VOrxG4KHr0GM/s1600-h/kaysan+2.jpg"><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5063996901880826930" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiDNtXu6XFu0O8Eg766G_aP2e5fLG9zfcLPGCQfoj3hcH1vT-A1gBsX-W7b4_5Ik6iYkwRg4H4PWKto0bZBvcY34TS53O24taskFfpWI2zs-zUQ5_7bytG2OGCL5-txC9VOrxG4KHr0GM/s400/kaysan+2.jpg" border="0" /></a> Nawatakia watoto wenzngu wote maisha mema. na wale waishio katika mazingira magumu, mungu awasaidie waweze kuodokana na maisha hayo. nawaasa wamuombe mungu atawasaidia. wafadhili na matajiri wajitokeze kuwalea watoto hao ili wasijiingize katika makundi yasiyofaa.<br /><div></div>Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-83055664408618687582007-05-13T03:41:00.000-07:002008-12-11T09:11:34.883-08:00<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEsCTnKMwDA6hRfyh5f6_LWlE7UWka3FG4-CWRKrKFkIcPpL23d3VH6WABsAuHQiG49p_PzWRqpmthfhVfZQcFQDk7VeClUSX08Rz1h5yPn2jL2RD0LdMqLV-q6c5q0Y91b4KCtRoshrc/s1600-h/kaysan.jpg"><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5063994986325412898" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEsCTnKMwDA6hRfyh5f6_LWlE7UWka3FG4-CWRKrKFkIcPpL23d3VH6WABsAuHQiG49p_PzWRqpmthfhVfZQcFQDk7VeClUSX08Rz1h5yPn2jL2RD0LdMqLV-q6c5q0Y91b4KCtRoshrc/s400/kaysan.jpg" border="0" /></a><br /><div>Mtoto Kaysaan, anapenda kumsalimu kaka yake na kumweleza kuwa, anampenda sana na anamtakia afya njema na masomo mema. pia Kaysaan anamsalimia bibi yake Neema Saidi Mkenga na Familia nzima ya Mzee aidi Mkenga wa Usangi Mwanga. Hakuishia Hapo anamsalimu Mamayake Mpendwa Aisha Sarumbo na kumtakia maisha mema yenye furaha wakati wote, Ujumbe anapenda kumwambia mama yeke kwa awalee kwa mapenzi waweze kupata elimu na upendo kwa wengine. anaedelea kumsalimu baba yake na kumwasa kuwa , Dunia ni Tambara bovu yampasa kuwa makini na maisha yake.</div><div> </div><div> </div><div>TUPENANE MIMI NA KAKA YANDU AHMEDYSAAN TUWEZE KUPATA BARAKA ZA MUNGU></div>Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-74438843051455915942007-05-11T03:42:00.000-07:002007-05-11T03:43:39.195-07:00Na Aisha Mbaga Je sunna ni ndevu, masharubu, nguo, kilemba, au muonekano wa mavazi?<br />Hivi nini yawezekana kuwa ndiyo Sunna ya Rasulullah?<br />Sunna ya Allah yani SUNNATILLAH ni nini?<br />Wenye ufahamu mdogo wanajua sunna kuwa ni operesheni wanayofanyiwa watoto wa kiume.<br />Ufahamu wa sunna wa wenye ufahamu wa wastani ni mpana kidogo... Kwao, sunna ni Ndevu, masharubu na mavazi!... Kwao, kumfuata Rasulu wa Allah ni kujitumbukiza katika mavazi ya miaka 1400 iliyopita; kufuata mila na desturi za kipindi hicho!..<br />Hawa ni waislam wenye kusema kwamba wao ndiyo waislamu na wale wenye kuvaa mashati ya mikono mifupi si waislamu!<br />Hawa ni kama waislamu waliomuua Kiongozi wa Uwalii, Mlango wa elimu Hazrat Ali!... Ufahamu wao, ni ufahamu uliomuona huyu swahaba mkubwa ametoka nje ya dini!.<br />Tafitini yaliyosemwa na Hazrat Muhammad alayhissalaam kuhusu Hazrat Ali... Muelewe hali na kiwango cha ufahamu wa waislamu ambao walimuona yu nje ya njia ya Rasulullah!<br />Watofautisheni ambao, kwa madai ya kuhudumia dini na sunna wamefanya dini ufalme na wamekuwa wakiitumia DINI kutawala watu.<br />Nimeamua nilifafanue jambo hili wazi wazi baada ya kuona habari kwenye ukurasa wa internet ulionukuu ufafanuzi nilioufanya!<br />Nawaomba mfikirie vizuri nitakayoyaeleza...<br />Nilipokuwa na miaka 20 yani miaka 40 iliyopita, nilimuota Rasulullah akaniambia niende kwa Hazrat Abubakar... Kilichofuata si muhimu hapa... Na mimi baadae mwaka huo nikaandika maisha ya Hazrat Abubakar... Baadae nikaandika kidogo maisha ya Hazrat Rasulallah ya kipindi cha Makka kwa kuambatanisha na hadithi katika kitabu nilichokiita “Muhammed Mustafa” alayhissalam.<br />Nimeandika haya kwa sababu ifuatayo. Nilitafiti kwa undani sana maisha ya wakati huo... Nilisoma karibu Hadithi 60 sahihi.<br />Kama inavyojulikana Rasul wa Allah Muhammed Mustafa alayhissalaam alizaliwa ndani ya kabila la Kureishi lililokuwa na upapatikiaji wa Masanamu... Babu, na ndugu zake wengine walikuwa wenye kufuata taratibu za kabila...<br />Rasulullah akakulia humo... ALIVAA kama wao, ALIACHA NDEVU kama wao, ALIFUNGA KILEMBA kama wao!. Alikaa, kusimama, kula na kunywa kama wao...<br />Aliendelea hivyo mpaka alipofikisha miaka 39 akawa Rasulu wa Allah!... Kama Rasulu wa Allah alibaini ukweli katika umri huu; Ulipokamilika UNABII miaka mitatu baadae, akaanza kuwafahamisha watu yakufanya kwa mujibu wa Wahyi aliopata, ili wajichumie kwa ajili ya maisha yao ya milele.<br />HAKUBADILI NDEVU WALA MAVAZI YAKE katika kipindi hiki wala baada yake!<br />Aliendelea kufunga kilemba kama wao, alivaa kama wao, na kuzunguuka na ndevu kama wao!. Hata ile nguo yake yenye rangi nyingi na bakora yake aliendelea nayo!..<br /> Sunna ya Rasulu wa ALLAH ni sunna ya makusudio ya jina “ALLAH” ambaye ndiye Rasulu wake; “SUNNATILLAH”!.<br />Hata sisi tukiielewa “SUNNATILLAH” na kuifuata tutakuwa tumeifuata sunna ya Rasulullah na tutakuwa kwenye “SUNNATILLAH”! Lakini si kwa ndevu, masharubu, nguo na vilemba!<br />VILEVILE JAMBO MUHIMU LINALOBIDI LIBAINIKE NI:<br />Rasulullah hakuingilia wala kuwashauri kuhusu mavazi na desturi wapapatikia masanamu wakina Abu Jahil, Abu Lahab na mfuwasi wao ambaye alimuua mjukuu wa Rasulullah, Yazid; Aliendelea kuwa ni mwenye kuvaa kama wao. Kwa sababu hili halikuwa na umuhimu katika kufanikisha yanayotakikana na DINI; na wala halina uhusiano na ukweli wa maisha ya milele au kujulikana kwa makusudio ya jina “ALLAH”<br />Na hii inamaanisha kwamba...<br />ALLAH akimuongoza mtu, mtu huyu anaweza akaendelee kuvaa kwa mujibu wa mila na desturi za jamii yake, lakini hatofuata jamii yake katika mambo yanayohusika na “SUNNATILLAH”; Na ataendelea kuufahamisha ukweli aliojifunza unaohusika na uongofu alioupata!.<br />Hii inamaanisha, si kupinga mila na desturi katika mambo kama mavazi, bali kuendelea nayo ndiyo SUNNATIRASUL!.<br />Kwa sababu DINI haikuja kwa ajili ya mapinduzi ya muonekano wa mavazi ya watu! Si kazi ya Dini kushughulika na muonekano wa mavazi. Kwa mujibu wa suna, watu wana haki ya kuvaa, kusoma, kuishi, na kufanya kazi kufuatano na imani zao bila kuharibu amani ya jamii! Hata kama hili litakuwa liko kinyume kwa wale ambayo mbongo zao hazijaelewa!<br />Kutoa hukumu juu ya dini ya mtu kwa kuangalia mavazi yake ni ishara tosha ya mtu asiyeendelea mwenye ubongo wenye kufuata mkumbo.<br />Rasulu wa kusidio la jina “ALLAH”, kwa kuwafahamisha watu ukweli wa utaratibu na mfumo wanaoishi ndani yake, alijitahidi kuwafanya waishi kwa mujibu wa mfumo na utaratibu wa ALLAH ambao ulipewa jina la “DINI”, na hivyo basi kuwa wenye kujiandaa na maisha ya milele!<br />“MTU WA DINI” ni yule aliyetafiti, kuuliza na kuuelewa utaratibu na mfumo wa ALLAH na kukubali kuishi kwa mujibu wake!. MTU WA DINI kutokana na mfumo huu aliouSOMA anakuwa “MUTTAQI” yani mwenye kuchukua tahadhari dhidi ya hatari zinazokuja alizozibaini!.<br />Kufuata sunna ya Rasulu wa Allah maana yake ni kuuthamini ufahamu wake, kudumu katika njia aliyoionyesha na kwa kufanya aliyosema kufikia mambo mazuri yanayokuja. Maana yake ni kuuvumbua uhakika wa kiini chake; na kufanikisha matokea yake ya kusisimua!. Sio kufuja maisha kwa kufuata mkumbo.<br />Kufuata sunna ya Rasulu wa Allah maana yake ni kuchanga na watu bila malipo elimu aliyozawadiwa. Siyo kuwaliwaza watu na riwaya za muonekano wa mavazi!.<br />Mtu aliyeuelewa mfumo na utaratibu wa Allah yani “SUNNATILLAH” na kisha akafanywa yanayopaswa anakuwa ndiyo mtu aliyefuata “SUNNATIRASULULLAH”!.<br />Onyo la kwamba “Atakayejifananisha na kundi lolote basi atakuwa miongoni mwao” linamaanisha kwamba mtu yupo katika jumuia ambayo anachangia nayo Fikira na Imani... na si ufanano wa mavazi au ndevu!.<br />Kama tulivyo eleza katika makala yetu yenye kichwa “Kutawala watu kwa kutumia dini”, kuna baadhi ya watu wamepiga marufuku udadisi na utafiti wa DINI; na hivyo basi wamepelekea ukuaji wa watu wenye mbongo kama kaseti, wenye kuiga na wasio na uwezo wa kufikiri.<br />Dunia ni pahala pa hekima na kila ufafanuzi wa Rasulullah umelala kwenye hekima fulani!. Mtu mwenye akili ni yule mwenye kuuliza na kutafiti kila jambo ili kumuelewa vizuri Rasulullah na kujaribu kuifikia hekima ya lililofundishwa.<br />Hili limeashiriwa na onyo la kwamba “hekima ni kitu kilichopotezwa na mumin”<br />Yeyote aliye na mgongano wa mawazo au mapengo katika mfumo wake wa kufikiria, ni mfuata mkumbo ambaye hajailewa dini na hajaweza kuuSOMA ufanyajikazi wa utaratibu na mfumo aishio ndani yake.!.<br />Ukweli ni kwamba DINI haikubali ufuataji mkumbo!.<br />Kuiga matendo kunazaa matokeo yanayofanana; lakini hili haliwezekani kwa kuiga mawazo !.<br />Kuwa “Faqih” yani mwenye ueleo, ni Lutufu(upendeleo) ya Allah. Hivyo mtu anaacha kuwa mwenye kufuata mkumbo. Hata siku moja kukumbuka kanuni za FIQIH hakumaanishi kuwa “FAQIH”.<br />Uwezo wa kuhifadhi vitu kichwani umepoteza thamani baada ya uvumbuzi wa kaseti!.<br />Dini imefahamishwa kwetu kuwa ni yenye kustahili kusomwa ili ubaini utaratibu na mfumo unaoishi ndani yake; la muhimu zaidi “UJIFAHAMU MWENYEWE” ! Uivumbue hazina iliyo katika uhakika wako; Na mwisho ufahamu kusudio la jina ALLAH kwa mujibu wa elimu ya holografia na kuijua nafasi yako katika ulimwengu.. Wale ambao hawajalielewa hili katika maisha yao hawajaisoma “IHLAS” Hata kama wameirudia mara laki!...<br />Tulifikirie vizuri onyo la Rasulullah kwamba, “Kuna mwenye kuswali sana lakini hajaambulia lolote isipokuwa uchovu; kuna mwenye kufunga sana lakini zaidi ya njaa hajapata faida yoyote”<br />Rasulu wa Allah ametufahamisha Quran ili tuielewe na kutafakari. Tufanye hivyo hadi ufike wakati ambao hatua zote tunazochukua maishani ziwe zenye kuwiana na SUNNATILLAH! Tusizungumze kipuuzi juu ya nywele, ndevu, mavazi, Rasulu hakuja ili tupoteze umri kwa hukumu zinazohusu watu.<br />Je ni upi ufahamu wa dini unaoingilika kwa kusema kwamba hakuna mungu wala wazo la uungu pamoja na Kusudio la jina ALLAH. (La ILAHA ILLA ALLAH)?<br />Wanaofuja umri wao kwa kuiga bila kudadisi wala kujaribu kuelewa hili; watapigwa na bumbuwazi na kupata majuto makubwa kama matokeo ya kushindwa kuisoma hazina.<br />Inasikitisha kwamba ndani ya huu mfumo hakuna wazo la kufidia!.<br />Tahadhari: Huu ni mtazamo wangu binafsi; Haumlazimishi yeyote yule kuufuata; Apendae atachangia, asiyependa hatochangia. Kuna baadhi ya watu, kutokana na kuwa tofauti na matarajio yao wanadai kwamba tunachanganya vichwa na wanapiga marufuku tusisomwe kwa kusema kwamba “tunawafanya watu wafikirie na hivyo basi tupigwe marufuku.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-72521892037650034362007-05-11T03:22:00.000-07:002008-12-11T09:11:35.226-08:00Na Aisha Mbaga<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtu37SPRWVbFeSrbhF_XDO3KqwVa2PPgk2rxwh9BASujgiO8-OQ6km4gEfFDYvh3e71qArIB4quA2sHFjjlmdXM109d66C35-oEcJiEm4HFdYQLqSZxfnYMaxLDt84EBirLi45CdDgAlI/s1600-h/aisha.jpg"><img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5063255186798611474" style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; CURSOR: hand" alt="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtu37SPRWVbFeSrbhF_XDO3KqwVa2PPgk2rxwh9BASujgiO8-OQ6km4gEfFDYvh3e71qArIB4quA2sHFjjlmdXM109d66C35-oEcJiEm4HFdYQLqSZxfnYMaxLDt84EBirLi45CdDgAlI/s320/aisha.jpg" border="0" /></a><br /><div>UCHUMI wa MALAWI<br /><br />UCHUMI-MALAWI:Kuwa ''Mwanafunzi Bora'' Kunaweza Kuwa Kubaya Kwako Pilirani Semu-Banda BLANTYRE, Aprili 17 (IPS) - Miaka mitano baada ya njaa ambapo zaidi ya watu 1,000 nchini Malawi walifariki dunia na wengine milioni 8 kati ya milioni 12 nchini humo walikabiliwa na njaa, kumbukumbu inayouma ya ushauri wa sera mbovu bado inaendelea. Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) na Benki ya Dunia zililaumiwa kutokana na janga hilo ambalo liliipiga Malawi wakati wa njaa ya mwaka 2002. Shirika la kimataifa la kupigania haki za binadamu la Action Aid, kwa mfano, lilionyesha katika taarifa ya mwezi Oktoba 2002 kwamba IMF imeitaka serikali ya Malawi kuuza akiba ya nafaka kulipia deni lililokopwa na chombo kilichosajiliwa kisheria cha Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Taifa (NFRA). Ripoti hiyo iliyojulikana kama, ‘‘State of disaster: Causes, consequences and policy lessons from Malawi'', pia ilitaja Benki ya Dunia. Action Aid iliilaumu Benki ya Dunia kutokana na ‘‘kushinikiza'' Malawi kuuza mahindi kwa Kenya kulipia deni ambalo nchi hiyo ilikuwa ikidaiwa na Benki hiyo. Halafu Waziri Bakili Muluzi pia alitangaza wazi wazi kwamba Benki hiyo imekuwa ikishawishi serikali kuhifadhi fedha za kigeni kuliko nafaka. Nafaka, Benki hiyo ilisema, zinaweza kupoteza thamani. Hata hivyo, IMF na Benki ya Dunia zilikanusha shutuma hizo kwa kusema kwamba ‘‘zilikuwa washauri tu'' kwa serikali juu ya hifadhi yake ya nafaka. Walisema kwamba sababu za uhaba wa chakula nchini Malawi zilikuwa ngumu ikiwa ni pamoja na serikali kukaa kimya kutoa onyo la haraka, kupotosha habari katika masoko ya ndani na usimamiaji mbovu wa hifadhi ya chakula. Kufuatia shutuma hizo na kujibu shutuma hizo, mahusiano kati ya mashirika ya wafadhili na serikali yaliathirika. Hii ilisababisha kuchelewa kwa wafadhili kuchukua hatua wakati wa mgogoro wa chakula. Malawi imekuwa ikitegemea zaidi wafadhili kwa miongo minne. Fedha za wafadhili ambazo imeshazipata zinakaribia asilimia 40 ya bajeti ya taifa. Nchi hiyo imeshindwa kung’ata mkono ambao unailisha. Hivyo, pamoja na madai hayo ya sababu za mgogoro wa chakula, serikali ilikamilisha mageuzi ya kiuchumi katika kuzingatia masharti yaliyowekwa na Benki hiyo na IMF. Ikiwa kama zawadi, taasisi hizo zilifutia Malawi madeni yake mengi ya nje yanayofikia dola bilioni 2.97 Septemba 2006. Kumbukumbu za njaa hiyo na sababu yake bado zinaendelea kuwepo. Baadhi ya Wamalawi wanataka nchi hiyo kujinasua kutoka kwenye mtego wa taasisi hizo. Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Jamii ya Umoja wa Mataifa, Thandika Mkandawire, ambaye yeye mwenyewe ni raia wa Malawi, ni mmoja wa watu ambao anahofia mahusiano ya nchi hiyo na nchi wafadhili na taasisi za fedha za kimataifa. Anasema pamoja na Malawi kubatizwa jina la ‘‘mwanafunzi bora'' wa Benki hiyo na IMF kati ya mwaka 1980 na 1990, nchi hiyo inasimama kama mshtaka wa mahusiano ya misaada katika miongo mitatu iliyopita. Kati ya mwaka 1979 na 1999 Malawi ilichukua nafasi miongoni mwa kile IMF ilikipatia sifa ya ‘‘mtumiaji wa muda mrefu mno'' wa vifaa vyake. Taifa hilo lilikuwa na programu sita na IMF. Miaka 17 kati ya miaka 20 Malawi ilikuwa chini ya programu moja ya IMF hadi nyingine. ‘‘Katika nyaraka za IMF na Benki ya Dunia zilizokuwa zikifanyia tathmini matokeo ya sera za uchumi wa Afrika kati ya mwaka 1981 na 1998, Malawi iko juu zaidi katika orodha ya ‘warekebishaji bora' huku ikiwa imejitokeza mara saba, ikifuatiwa na Uganda na Kenya zikiwa za tano,'' anasema Mkandawire. Pamoja na ‘‘sifa hizo'', pato la taifa la Malawi lilishuka kutoka dola za Kimarekani 156 mwaka 1980 hadi dola 143 mwaka 1990. Hata ilipofika mwaka 2003 Malawi ilikuwa bado haijafikia kiwango cha pato la taifa cha mwaka 1979, kulingana na takwimu za Benki ya Dunia. Ripoti ya umaskini na kukosekana kwa utulivu iliyotolewa mwaka jana na serikali na Benki ya Dunia inaonyesha kwamba kumekuwepo na mafanikio madogo mno katika kupunguza umaskini na kukosekana kwa usawa. Mchanganyiko wa ushauri mbovu wa kisera na utawala wa kimabavu umezalisha miongo miwili iliyopotea kwa Malawi, anasema Mkandawire. Hakupendezewa na kukubali makosa kwa taasisi hizo au Mikakati ya Benki hiyo ya Kupunguza Umaskini. Ushauri wao umesababisha kuanguka kwa uwekezaji wa umma katika mtaji wa kimaumbile na kibinadamu, anasema. ‘‘Jambo ambalo hawaonekani kulitambua ni kwamba ongezeko la makosa limesababisha uchumi ambao haujarekebishwa vizuri na kushikiliwa katika mtego wa ukuaji mdogo,'' anasema Mkandawire. Mkandawire ana wasiwasi zaidi na jinsi ya kuingiliwa na nguvu za nje kunavyosababisha mataifa ya Afrika kupoteza uhuru wake. Mwaka 2002 IMF ilisitisha misaada yake ya kiuchumi kutokana na kile ambacho imekiita usimamizi mbovu wa uchumi chini ya rais wa zamani Muluzi. IMF ilirejesha programu yake baada ya utawala wa Bingu wa Mutharika, ambaye aliingia madarakani Mei mwaka 2004, kukubali kutekeleza sera zinazosimamiwa. Kwa njia hii rikodi zinazoeleweka za kutekeleza sera ziliundwa ili kuwarejesha wafadhili. Utekelezaji wa sera kwa mwaka wa kwanza ulishuhudia IMF na Benki kuizawadia Malawi kufuta asilimia 90 ya madeni yake ya kigeni. Msamaha wa madeni ulitafsiriwa kwamba Malawi ingeokoa dola za Kimarekani milioni 100 kama akiba ya kununulia bidhaa zake kutoka nje kwa mwaka kwani nchi hiyo iliendelea kuwa na mtaji ambao ungetakiwa kutumika katika kulipia madeni. Mkuu wa sera katika Action Aid Malawi, Collins Magalasi, pia hajaridhishwa na tabia ya mashirika wahisani. Anatoa mwito kwa nchi mfadhili wakuu wa Malawi, serikali ya Uingereza, kuongeza msaada wake wa kifedha ambao katika kipindi cha miaka mitano iliyopita ulifikia wastani wa pauni milioni 54.1 kwa mwaka, ambapo ni asilimia 0.0009253 tu ya pato la ndani la mwaka la Uingereza. Magalasi analaumu kuwa Wamalawi 70,000 wanafariki dunia kila mwaka kutokana na magonjwa yasiyozuilika. Kipato cha watu wote kikichanganywa hakilingani na ruzuku za kilimo ambayo Umoja wa Ulaya unatumia kwa wakulima wake. Wakati akielezea kuridhishwa kwake na misaada ya wafadhili ambayo nchi hiyo inapokea, Mutharika ametoa pia mwito wa ‘‘sera zinazobuniwa ndani ambazo zinapaswa kuungwa mkono na washirika wengine''. Katika mwaka wa fedha 2005/2006 serikali ilianza kutekeleza sera iliyoandaliwa ndani ya nchi iliyojulikana kama Mkakati wa Kukuza Uchumi na Maendeleo wa Malawi (MGDS), ambao utaendeshwa kwa kipindi cha miaka mitano. Mutharika anaona mkakati huo mpya kama chombo cha kuhamisha vipaumbele kwani ulibuniwa na Wamalawi. Wakati huo huo, unafanya kazi ya kurejesha nidhamu katika masuala ya fedha. Wafadhili wameunga mkono sera hiyo, kwa kukubali kuruhusu nafasi kwa sera zinazobuniwa na Wamalawi; na watu wa kawaida badala ya zile zinazobuniwa na wanauchumi na kuzimiliki. Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Haki ya Uchumi wa Malawi (Mejn), Andrew Kumbatira, anakubaliana kwamba MGDS ni sera iliyobuniwa ndani ya nchi ambapo mawazo ya ndani yamepewa nafasi kubwa mno. Anakubali kwamba ‘‘kuna sera zinazofanana na hizo katika mataifa mengine yanayoendela. Hii inaonyesha kwamba sera bado inaongozwa na wafadhili. Lakini jambo zuri kuhusu sera hii mpya ni kwamba mikutano ya ndani ya mashauriano ilikuwa mingi''. (END/2007)</div>Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-55502059254078362702007-04-10T03:16:00.000-07:002007-04-10T03:17:14.302-07:00MAGOFU YA KILWA, KIVUTIO KWA WATALIIMagofu ya Kilwa ni kivutio kwa watalii.<br />Na Aisha Mbaga<br />Magofu ya kumbukumbu ya kihistoria, ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yanayofanyiwa ukarabati yanatarajiwa kuongeza idadi ya wageni wanaotembelea eneo hilo kutoka ndani na nje ya nchi mara baada ya ukarabati kukamilika.<br />Mradi huo, unaendeshwa kwa pamoja na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, nchi ya Ufaransa, Japan na Shirika la Umoja wa Mataifa la Utamaduni, Elimu na Sayansi (UNESCO).<br />Mradi huu wa maendeleo umepania kuinua utalii katika eneo hilo la lililopo kilomita 300 kusini mwa Dar es salaam.<br />Meneja mradi Bw.John Kimaro anasema kuwa kwa kutangaza eneo la kumbukumbu la magofu la Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kutawaelimisha wengi ambao hawajapata taarifa hizo kwa undani.<br />Katika ukarabati huo maeneo yanayoshughulikiwa ni pamoja na jumba la kale la Gereza “Gereza Fort” lilojengwa na Wareno mwaka 1505 na kufanyiwa ukarabati upya na Waarabu mwaka 1807,ambalo limeshawekewa umeme “security light” unaotumia nishati ya jua “solar power”.<br />Magofu mengine yanayofanyiwa ukarabati katika eneo hilo lenye kilomita za mraba 2000 ni Husuni Kubwa yenye eneo la mita za mraba 3000 iliyojengwa karne ya 14 na Husuni Ndogo, Jumba la Makutani “ The Makutani Palace” Msikiti Mkubwa “The Small Mosque”, Makaburi ya Shirazi “The Shirazi Tombs”, na Songo Mnara.<br />Mhandisi katika mradi huo Bw. Pierre Blanchard anasema kuwa ukarabati unafanywa kwa kutumia vitu asilia vilivyotumika awali katika ujenzi wa magofu hayo kama vile chokaa, udongo mwekundu, na mchanga.<br />Anasema kuwa iwapo ukarabati utatumia vifaa vya kisasa kama, cement, dhana nzima ya utunzaji wa magofu hayo itapotea kwa sababu haviendani na uhifadhi wake.<br />Ukarabati unafanywa na vijana 15 wa Kitanzania ambao wamepata mafunzo kutoka kwa watalaam wa kujitolea wa shirika lisilo la serikali la nchini Ufaransa liitwalo Chantiers, Histoire and Architecture Medievales (CHAM) linalojishughulisha na elimu ya utunzaji wa kumbukumbu za kihistoria, kazi mbalimbali za kujitolea kwa vijana katika uhifadhi na mafunzo kazini kwa wale wasiokuwa na ujuzi.<br />Lengo la CHAM ni kuwawezesha vijana hao kupata uelewa kuhusu utunzaji wa magofu kwani baadhi yao awali walikuwa ni wavuvi au wakulima na wengine ni wasichana ambao hawajashiriki katika ujenzi kabisa.<br />Meneja mradi anasema kuwa kitajengwa pia kituo cha kutoa habari ili kutoa taarifa kwa wageni na watu wengine watakaokuwa na kiu ya kujua zaidi kuhusu eneo hilo la magofu lililotangazwa kuwa urithi wa Dunia mwaka 1981.<br />Hii ni moja kati ya hatua nyingi za kuitambulisha historia ya Kilwa kitaifa na kimataifa, na ni muhimu kwani tayari baadhi ya wadadisi wamesema kuna hatari ya vitu vilivyopo na historia yake kupotea kabisa barani Afrika iwapo havitatunzwa vizuri.<br />Kilwa kama ilivyo baadhi ya miji katika mwambao wa bahari ya Hindi ulikuwa ni kituo kikubwa cha biashara katika karne ya 13 na 14 hivyo kuvuta wafanyabiashara kutoka kona mbalimbali duniani.<br />Mji huo wa kusini ndio pekee uliokuwa na sarafu yake katika ukanda wa kusini mwa Jangwa la Sahara (Sub Sahara Africa). Katika kipindi hicho biashara nyingi ilifanywa kwa kubadilishana vito (barter trade).<br />Inasemekana kuwa ingawa mambo mengi ya kale yanapatikana barani Afrika, Tanzania ikiwa moja ya nchi zenye kumbukumbu za kitamaduni za kale, wengi miongoni mwa wakazi wa Afrika hawaelewi chochote au wana uelewa kidogo mno kuhusu kumbukumbu hizo ambazo zinawahusu.<br />Kilwa ndiyo iliyokuwa na msikiti mkubwa katika karne ya 11 na 15 ambao hadi leo upo uliotumika wakati wa sherehe ukikusanya watu kutoka kona zote za mwambao hadi Mombasa na Sofala. Kulikuwa na misikiti 99 katika kipindi hicho ambayo baadhi magofu yake bado yapo.<br />Wapo wanaodai kuwa sehemu za ukanda wa kusini katika utalii zimesahaulika kabisa. Hata hivyo serikali na wahisani mbalimbali wanaboresha maeneo hayo yawe ya kuvutia zaidi kwa watalii na wageni mbalimbali mara wafikapo hapa nchini au wakiwa nje ya nchi wawe na shauku ya kufika na kujionea hazina za mambo ya kale zinazopatikana katika sehemu hizo.<br />Mkuu wa wilaya ya Kilwa Bw. Bernad Itendele anasema kuwa wakazi wa eneo hilo wanafundishwa mambo mbalimbali ikiwamo namna ya kuwapokea watalii, kuwafunza utamaduni wao na kujifunza kutoka kwao bila woga.<br />Anasema kuwa wilaya hiyo imepata umaarufu katika utalii baada ya samaki aina ya Silicant zaidi ya miaka milioni 65 iliyopita kuvuliwa katika eneo hilo.<br />Pamoja na hayo, Mkurugenzi wa wilaya ya Kilwa, Bw. Muhando Harold Senyagwa anasema Daraja la Mkapa limeleta mabadiliko mengi, ikiwamo idadi ya wageni kuongezeka kila kukicha na upatikanaji wa usafiri wa uhakika.<br />Pamoja na juhudi nzuri zinazofanywa na serikali kwa kuwashirikisha wananchi katika shughuli mbalimbali za maendeleo, ikiwamo utalii wa jamii, (community tourism) ili kuinua uchumi na hali za maisha, bado juhudi kubwa zaidi inahitajika ili kufikia viwango vinavyostahili hasa katika utalii ambao kila kukicha unakua kwa kasi ya ajabu.<br />Baadhi ya wakala wa watalii kutoka katika nchi za ulaya wana mtizamo kuwa bado huduma ya utalii inastahili kuboreshwa ili iendane na gharama zinazotozwa, ikiwa ni pamoja na wanaojishughulisha katika kazi za utalii kuwa na elimu kuhusu shughuli zao.<br />Takwimu za watalii waliofika nchini kati ya mwaka 1998-2002 zinaonyesha kuwa watalii kutoka Ulaya, wengi wanatoka katika nchi za Uingereza, nchi za Scandinavia, Ujerumani, Ufaransa, Italia, Holland, na Uswisi.<br />Inakisiwa kuwa ifikapo mwaka 2012 wageni watakaoitembelea Tanzania watafikia idadi ya watu zaidi ya 900,000 ambapo idadi hiyo kubwa ya wageni watakaofika itachangia kuongeza kipato katika sekta nyingine za uchumi.<br />Idadi ya wageni inaongezeka kwa sababu ya mambo mengi ikiwamo utunzaji wa vivutio vinavyopatikana hapa nchini unaofanywa na serikali na wananchi kwa ujumla hasa wale wanaozunguka maeneno ya utalii.<br />Aidha, Shirika la Hifadhi za Taifa la Tanzania (TANAPA) lilianzishwa mwaka 1959 pamoja na mambo mengine, kutunza hifadhi za Taifa ili zisivamiwe au kuharibiwa kwa namna yoyote kuwezesha wananchi na wageni mbalimbali kuzitembelea wakati wowote.<br />Kutokana na uhifadhi wa makini hasa wa maliasili Tanzania yenye eneo la kilometa za mraba 937,062 yaweza kujinadi kuwa ni moja kati ya nchi ambazo mtalii anaweza kufunga safari na kupumzika kwa kuangalia vivutio mbalimbali na kumbukumbu za zamani ambazo hazipatikani mahali pengine popote Duniani.<br />Katika kongamano la pili la Kimataifa la Afrika Kuhusu Nafasi ya Utalii Katika Kudumisha Amani lilofanyika hapa nchini Dr. Dawid De Villiers ambaye ni Katibu wa Shirika la Utalii la Dunia (WTO) aligusia kuwa bara la Afrika bado lina nafasi kubwa ya kufaidika na utalii, hata hivyo bado soko la sekta hiyo halijatumika ipasavyo kwa maendeleo katika jamii, bara la Afrika linawakilisha asilimia nne katika biashara ya dunia.<br />Alisema iko haja ya kuhakikisha picha mbaya inayolieleza bara la Afrika kama sehemu ya njaa, magonjwa na migogoro, ambapo wakati tatizo liko katika nchi moja au sehemu ndogo hali hiyo huchukuliwa iko katika bara lote.<br />Akizungumza katika kongamano hilo, Waziri Mkuu Mhe. Frederick Sumaye alisema kuwa tukio lolote la kigaidi linapotekea ndani au nje ya Afrika huleta picha mbaya hivyo kupunguza idadi ya watalii na wawekezaji wengine hivyo kudumuza uchumi. Takwimu zinaonyesha nchi 33 kati ya 48 masikini zipo katika bara la Afrika.<br />Ingawa bara la Afrika lina vivutio vingi ambavyo bado havijatumika kisawasawa kwa sababu ya matatizo mbalimbali, takwimu za WTO zinaonyesha kuwa sekta ya utalii inaingiza dola za Kimarekani (USD) trillioni 3.6 na kutoa ajira moja kati ya watu 12 duniani.<br />Hapa nchini, na nchi nyingine za Kiafrika utalii ni moja kati ya sekta zinazotegemewa katika kuingiza fedha za kigeni hivyo kuchangia kuondoa umaskini, ambao ni mkakati wa serikali ya Tanzania kwa kuwashirikisha wananchi kuondosha umasikini.<br />Hata hivyo, Raisi wa Shirikisho la Sekta Binafsi la Tanzania (TPSF) Elvis Musiba aliweka bayana kuwa sekta binafsi bado “imelala usingizi” kwa sababu ya ukubwa wa mtaji unaohitajika katika kuendesha sekta hiyo.<br />Aliongeza kuwa matumizi mabaya ya maliasili yataleta athari kwa utalii hivyo ni muhimu kwa wananchi katika sekta binafsi kuisadia serikali katika kupambana na wahalifu waharibifu wa maliasili ili kuleta utalii endelevu<br />Baadhi ya tafiti kuhusu maendeleo ya Afrika zinatilia shaka bara hilo kwamba haliko sambasamba na karne ya 21 ambapo kipato katika ukanda wa Sahara (Sub Sahara Afrika) kimekuwa kidogo kuliko ilivyokuwa mwishoni mwa miaka ya 1960.<br />Tafiti zinaonyesha kuwa kati ya Waafrika watano, mmoja yumo katika migogoro pamoja na hayo wale wenye ujuzi hukimbilia nchi za ng’ambo wakati idadi ya wakazi katika bara hilo imeongezeka mara mbili. Katika miaka 30 iliyopita.<br />Baadhi ya wadadisi wanasema kuwa ukianza na ujenzi wa mlango wa nyasi hakika utabadilika na kumalizia kwa ujenzi wa mlango wa chuma, hivyo mradi wa ukarabati wa magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara utaleta maendeleo kwa wananchi.<br />mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-81622380149306069182007-04-10T03:09:00.000-07:002007-04-10T03:15:07.064-07:00WATOTO WAPEWE MALEZI BORA WAKUWE KIAKILIWATOTO WAPEWE MALEZI BORA WAKUWE KIAKILI<br />Na Aisha Mbaga<br />WATOTO ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia<br />watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini<br />ambalolitaendelea kupigwa vita kila kukicha.<br />Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda<br />watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.<br />Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia<br />katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni<br />tatizo.<br />Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi<br />Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya<br />vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.<br />Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso<br />lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la<br />Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo<br />ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora<br />katika wilaya 11 za Tanzania Bara.<br />Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,<br />Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.<br />Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna<br />ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika<br />Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.<br />Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo<br />viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.<br />Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa<br />yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana<br />ya tatizo hilo kwa nchi nzima.<br />Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli<br />unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha<br />vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.<br />Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa<br />ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa<br />kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita<br />vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.<br />Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto<br />ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni<br />wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno<br />kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao<br />wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`<br />Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa<br />hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya<br />Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya<br />nchini inao watoto wasiopungua sita.<br />Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni<br />sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu<br />wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.<br />Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi<br />mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati<br />ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya<br />watoto.<br />Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule<br />unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini<br />anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.<br />Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,<br />udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni<br />za kijamii.<br />Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau<br />waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema<br />jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa<br />wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.<br />Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini<br />zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.<br />Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa<br />kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.<br />Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo<br />yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na<br />kuishi maisha ya usalama.<br />Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni<br />furaha ya kila aliye mzazi.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na<br />unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.<br />Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya<br />wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya<br />watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji<br />kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.<br />Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi<br />watoto wa kike kuliko wa kiume.<br />Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa<br />kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,<br />lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.<br />Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika<br />kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.<br />Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia<br />binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.<br />Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa<br />na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.<br />Hata Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia<br />watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini<br />ambalo litaendelea kupigwa vita kila kukicha.<br />Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda<br />watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.<br />Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia<br />katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni<br />tatizo.<br />Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi<br />Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya<br />vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.<br />Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso<br />lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la<br />Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo<br />ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora<br />katika wilaya 11 za Tanzania Bara.<br />Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,<br />Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.<br />Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna<br />ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika<br />Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.<br />Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo<br />viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.<br />Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa<br />yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana<br />ya tatizo hilo kwa nchi nzima.<br />Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli<br />unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha<br />vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.<br />Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa<br />ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa<br />kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita<br />vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.<br />Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto<br />ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni<br />wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno<br />kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao<br />wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`<br />Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa<br />hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya<br />Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya<br />nchini inao watoto wasiopungua sita.<br />Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni<br />sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu<br />wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.<br />Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi<br />mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati<br />ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya<br />watoto.<br />Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule<br />unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini<br />anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.<br />Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,<br />udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni<br />za kijamii.<br />Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau<br />waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema<br />jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa<br />wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.<br />Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini<br />zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.<br />Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa<br />kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.<br />Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo<br />yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na<br />kuishi maisha ya usalama.<br />Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni<br />furaha ya kila aliye mzazi.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na<br />unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.<br />Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya<br />wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya<br />watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji<br />kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.<br />Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi<br />watoto wa kike kuliko wa kiume.<br />Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa<br />kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,<br />lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.<br />Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika<br />kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.<br />Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia<br />binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.<br />Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa<br />na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.<br />Hata Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia<br />watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini<br />ambalo litaendelea kupigwa vita kila kukicha.<br />Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda<br />watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.<br />Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia<br />katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni<br />tatizo.<br />Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi<br />Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya<br />vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.<br />Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso<br />lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la<br />Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo<br />ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora<br />katika wilaya 11 za Tanzania Bara.<br />Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,<br />Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.<br />Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna<br />ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika<br />Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.<br />Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo<br />viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.<br />Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa<br />yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana<br />ya tatizo hilo kwa nchi nzima.<br />Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli<br />unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha<br />vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.<br />Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa<br />ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa<br />kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita<br />vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.<br />Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto<br />ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni<br />wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno<br />kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao<br />wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`<br />Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa<br />hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya<br />Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya<br />nchini inao watoto wasiopungua sita.<br />Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni<br />sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu<br />wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.<br />Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi<br />mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati<br />ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya<br />watoto.<br />Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule<br />unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini<br />anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.<br />Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,<br />udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni<br />za kijamii.<br />Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau<br />waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema<br />jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa<br />wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.<br />Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini<br />zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.<br />Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa<br />kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.<br />Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo<br />yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na<br />kuishi maisha ya usalama.<br />Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni<br />furaha ya kila aliye mzazi.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na<br />unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.<br />Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya<br />wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya<br />watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji<br />kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.<br />Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi<br />watoto wa kike kuliko wa kiume.<br />Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa<br />kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,<br />lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.<br />Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika<br />kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.<br />Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia<br />binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.<br />Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa<br />na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto. Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini ambalo<br />litaendelea kupigwa vita kila kukicha.<br />Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda<br />watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.<br />Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia<br />katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni<br />tatizo.<br />Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi<br />Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya<br />vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.<br />Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso<br />lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la<br />Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo<br />ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora<br />katika wilaya 11 za Tanzania Bara.<br />Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,<br />Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.<br />Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna<br />ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika<br />Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.<br />Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo<br />viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.<br />Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa<br />yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana<br />ya tatizo hilo kwa nchi nzima.<br />Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli<br />unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha<br />vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.<br />Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa<br />ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa<br />kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita<br />vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.<br />Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto<br />ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni<br />wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno<br />kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao<br />wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`<br />Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa<br />hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya<br />Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya<br />nchini inao watoto wasiopungua sita.<br />Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni<br />sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu<br />wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.<br />Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi<br />mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati<br />ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya<br />watoto.<br />Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule<br />unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini<br />anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.<br />Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,<br />udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni<br />za kijamii.<br />Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau<br />waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema<br />jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa<br />wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.<br />Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini<br />zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.<br />Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa<br />kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.<br />Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo<br />yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na<br />kuishi maisha ya usalama.<br />Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni<br />furaha ya kila aliye mzazi.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na<br />unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.<br />Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya<br />wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya<br />watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji<br />kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.<br />Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi<br />watoto wa kike kuliko wa kiume.<br />Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa<br />kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,<br />lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.<br />Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika<br />kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.<br />Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia<br />binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.<br />Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa<br />na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini ambalo<br />litaendelea kupigwa vita kila kukicha.<br />Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda<br />watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.<br />Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia<br />katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni<br />tatizo.<br />Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi<br />Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya<br />vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.<br />Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso<br />lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la<br />Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo<br />ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora<br />katika wilaya 11 za Tanzania Bara.<br />Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,<br />Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.<br />Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna<br />ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika<br />Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.<br />Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo<br />viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.<br />Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa<br />yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana<br />ya tatizo hilo kwa nchi nzima.<br />Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli<br />unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha<br />vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.<br />Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa<br />ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa<br />kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita<br />vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.<br />Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto<br />ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni<br />wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno<br />kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao<br />wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`<br />Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa<br />hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya<br />Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya<br />nchini inao watoto wasiopungua sita.<br />Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni<br />sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu<br />wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.<br />Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi<br />mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati<br />ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya<br />watoto.<br />Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule<br />unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini<br />anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.<br />Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,<br />udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni<br />za kijamii.<br />Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau<br />waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema<br />jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa<br />wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.<br />Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini<br />zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.<br />Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa<br />kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.<br />Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo<br />yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na<br />kuishi maisha ya usalama.<br />Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni<br />furaha ya kila aliye mzazi.<br />Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto<br />wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na<br />unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.<br />Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya<br />wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya<br />watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji<br />kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.<br />Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi<br />watoto wa kike kuliko wa kiume.<br />Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa<br />kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,<br />lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.<br />Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika<br />kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.<br />Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia<br />binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.<br />Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa<br />na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.<br />Hata akiwa mtu mzima, madhara hayo huendelea iwapo hayatapata ufumbuzi kama vile<br />matukio ya watoto kuchanganywa gerezani/mahabusu na watuu wazima hayamrekebishi<br />mtoto bali yanaongeza utukufu na usugu.<br />Serikali isikae kimya na kuachia hali hiyo ikiendelea, lazima ichukue hatua kali kwa<br />mujibu wa sheria kwa wale wote ambao wanaendeleza vitendo vya ukatili na<br />unyanyasaji kwa watoto.<br />Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kama chombo cha kitaifa cha kutetea,<br />kueneza na kulinda haki za binadamu na misingi ya utawala bora nchini imekuwa<br />ikifuatilia kwa makini suala la haki za makundi maalumu, ikiwa ni pamoja na kundi la<br />watoto.<br />mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-58251701266837453392007-04-09T02:17:00.000-07:002007-04-09T02:51:50.092-07:00SIGARA INAMADHARA KULIKO MOSHI WA GARINa aisha Mbaga<br />Uvutaji sigara umekuwa kama kitu cha kawaida kwa watu wengi. Watu huvuta sigara<br />ili kujisikia vizuri, kuchangamka, kupunguza mawazo na wengine huvuta kama<br />sehemu ya starehe.<br />Lakini, sigara au tumbaku hufanya nini miilini mwetu? Je unajua kuwa moshi wa<br />sigara una madhara kuliko hewa inayotoka kwenye injini za magari?<br />Dk. Phiilipo Kinabo wa hospitali ya Muzdalfa Yombo Vituka, anasema kuwa, wavutaji<br />wengi wa Sugara wamekuwa na sfya mbaya kutokana na kuathurika kwa mapafu<br />hivyo kusumbuliwa na ugonjwa wa TB na kusababisha vifo vingi zaidi.<br />Kinabo alisema kuwa, wanaoathirika zaidi ni vijana ambao wameshindwa kuacha japo<br />hawakuanza kuvuta kwa sababu ni dawa ama sigara inavurutubishi, lahasha , wengi<br />wameathirika kwa tabia za kuiga na kuhisi kuwa wanaovuta sigara ni waungwana<br />kuliko walevi.<br />pia alisema kuwa, hakuna kitu kibaya chenye kutoa moshi kinachodhuru kama moshi<br />wa sigara kutokana na madhara yake kuwa hasara kwa taifa. "Nashidwa kujua kwanini<br />Serikali inashindwa kupiga marufuku utengenezwaji wa sigara wakati inafahamu wazi<br />kuwa sigara inahatarisha maisha ya wanadamu wengi Diniana kote.<br />"Tumbaku ni jani lenye sumu aina ya nicotine ambalo hutafunwa au kuvutwa.<br />Tumbaku inachangamsha mwili kama ilivyo kwa sumu aina ya caffeine, ambayo<br />hupatikana kwenye kahawa au chai. Sumu hii, humfanya mtumiaji aizoee kwa haraka<br />sana. Inamchangamsha mtumiaji na kumfanya awe macho wakati mwingi. Haileweshi<br />lakini inapunguza hamu ya kula," alisema Dk. Kinabo<br />pia aliongezea kuwa Uvutaji sigara, unapunguza hewa ya oksijeni kutoka mwilini mwa<br />mvutaji na kusababisha mwili kutofanya kazi vizuri. Moshi wake unaharibu mishipa na<br />kusababisha shinikizo la damu na matatizo mengine ya moyo.<br />"Tumbaku ina lami, ambayo husababisha mapafu kutojisafisha vizuri na kuchangia<br />kupata maradhi kama vile saratani ya mapafu au koo. Huharibu ngozi na kuathiri<br />viumbe ambavyo havijazaliwa,"alisma Kinabo.<br />pia alieleza kuwa, pale mvutaji anapojikuta amekuwa mzoefu inamuwia vigumu<br />kuacha sigara kutokana na hali halisi, "wengi hujaribu kuacha lakini hushindwa na<br />kukosa raha, usingizi na kushindwa kufikiri vizuri" alisema Dk. Kinabo.<br />"Sumu iliyopo kwenye sigara ina madhara makubwa kwa afya. Serikali kwa kutambua<br />hilo, huwalazimisha watengenezaji wa sigara, kuweka onyo kali la tahadhari kwenye<br />paketi zao lakini hiyo haitoshi kwani bado watavuta hivyo ni vyema ikapigwa marufuku<br />kama ilivyo kwa bangi na mihadarati mingine," alieleza Kinabo.<br />"Kiungo rahisi kuathirika katika uvutaji wa sigara ni mapafu. Baada ya kuvuta moshi<br />wa kaboni na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu ambavyo<br />husababisha ugumu katika kupumua na kusababisha kutunga usaha kwenye<br />mapafu"alisema.<br />"Hii huchangia kupata maambukizi mengine kama kichomi, kifua kikuu na saratani.<br />Nikotini vilevile ni mbaya kwa tumbo na husababisha kupoteza hamu ya kula na<br />maumivu katika tumbo. Watu wanaovuta mara kwa mara hutoa harufu mbaya<br />mdomoni na hupata matatizo ya ngozi", aliseleza Dk huyo wa mapafu.<br />Akilinganisha moshi wa sigara na mwingineo barabarani, twaweza kujiuliza. "Je, hewa<br />chafu na yenye moshi wa sigara ndani ya baa ikilinganishwa na barabarani, ambako<br />kuna hewa nyingi zinazotoka kwenye injini za magari, kipi kina madhara zaidi", alihoji?<br />Utafiti uliofanywa na wataalamu huko Marekani umedhihirisha kuwa hewa ya ndani ya<br />baa ina madhara zaidi. Na uchafuzi kwa hewa ya ndani ya baa au majumba ya<br />burudani, hautaweza kuondolewa kama watu hawatazuiwa kuvuta sigara ndani ya<br />majengo hayo.<br />Matokeo ya utafiti huo, yameonesha kuwa ikilinganishwa na ubora wa hewa iliyoko<br />katika barabara ambazo magari huenda kwa kasi au zile za mijini, wakati ambao kuna<br />msongamano wa magari, hewa iliyoko katika baa au majumba ya burudani ina<br />chembechembe nyingi zinazoweza kusababisha ugonjwa wa saratani kwa zaidi ya<br />mara hamsini.<br />Bw. Jeams Rapaz ni kiongozi aliyeongoza utafiti huo. Kwa mara ya kwanza aligundua<br />kuwa, moshi unaotoka kwenye sigara unasababisha maelfu ya watu kufariki dunia kila<br />mwaka.<br />Katika utafiti huo, Bw. Jeams Rapaz aliona kuwa, kiwango cha chembechembe<br />ndogo zenye uchafuzi wa mazingira katika maeneo wanakofanya kazi wafanyakazi<br />wa majumba ya starehe na migahawa ni cha juu sana kuliko kiwango cha uchafuzi<br />kinachoruhusiwa katika hewa ya nje ya majengo.<br />Kati ya mwezi Novemba mwaka 2002 na Januari mwaka 2003, Bw. Jean Rapaz<br />alifanya uchunguzi kuhusu hali ya hewa katika majumba ya starehe na migahawa sita<br />ya mkoani Delaware na kupima chembe za aina mbili zilizoko katika moshi wa sigara.<br />Matokeo yake yalionesha kuwa kuna microgram mia mbili na thelathini na moja za<br />chembechembe katika kila mita za ujazo, kiasi ambacho ni mara kumi na tano kuliko<br />kikomo cha chembe kinachoruhusiwa na mamlaka ya mazingira nchini Marekani.<br />Na ni mara arobaini na tisa kuliko chembe zilizoko katika barabara ya kasi ya<br />Wilmington, Marekani wakati wenye msongamano wa magari.<br />Chembe za uchafuzi za aina mbili, zenye madhara kwa afya za watu zilizoko katika<br />moshi wa sigara ndani ya majengo manane ya burudani wakati wa usiku zilikuwa na<br />microgram mia moja thelathini na nne, kiasi ambacho ni mara tano kuliko kikomo<br />kinachoruhusiwa katika hewa ya nje ya majengo.<br />Ingawa barabara ya kasi ya Wilmington, ambako kuna uchafuzi mwingi ndani ya hewa<br />zinazotoka kwenye injini za magari wakati wa msongamano wa magari, lakini chembe<br />za aina hizo ndani ya hewa ya huko ni microgram saba tu.<br />Kupiga marufuku kuvuta sigara ndani ya majengo, hususan katika majengo ya<br />burudani na migahawa ni njia nzuri. Utafiti uliofanywa umeonesha kuwa baada ya<br />kutolewa amri ya kupiga marufuku kuvuta sigara ndani ya majengo, chembechembe<br />za aina hizo zenye uchafuzi katika hewa ya majengo ya burudani yaliyotajwa hapo juu,<br />zimepungua kwa asilimia 90.<br />Utekelezaji wa sheria ya matumizi ya tumbaku na bidhaa zake nchini Marekani<br />adhabu dhidi ya matumizi inaanzia sh 56,250 mpaka sh milioni 1.2 au jela miezi sita<br />kwa wavutaji na wamiliki wa sehemu zinazovunja sheria hiyo.<br />Tunapaswa kujiuliza kama sheria ya udhibiti wa bidhaa za tumbaku iliyopitishwa<br />bungeni hapa nchini inatiliwa maanani. Kifungu cha kumi na mbili cha sheria hiyo<br />kinazuia uvutaji ua utumiaji wa bidhaa za tumbaku katika maeneo ya umma bali<br />vitendo hivyo bado vinashuhudiwa.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-22082482007935465532007-04-09T02:10:00.000-07:002007-04-09T02:17:10.636-07:00Utalii Ukiwezeshwa Tutaendelea<br />Na Aisha Mbaga<br />SERIKALI inaposhauriwa katika mabo yanayoendeleza nchi, nivyema ikatilia mkazo kwani wakati mwingine huwa ushauri unafaida kwa taifa,<br />kama tunakumbuka kipindi cha uongozi wa serikali ya Dk Salmin Amou, alitoa uamuzi wa kuruhusu sekta ya utalii Visiwani iendelezwe lakini mwanzoni uamuzi huo ukipingwa na wengi ikiwa ni pamoja na kulalamikiwa na baadhi ya wananchi ambao hawakuwa wakielewa vyema matokeo yake.<br />Kwa sasa wananchi wengi wanaona faida ya uamuzi huo na wengi wameuunga mkono kutokana na sekta hiyo kuleta matunda kwa wananchi wa Zanzibar na serikali kwa ujumla .<br />Rais Mstaafu Dk Salmin Amour na serikali yake walifikia uamuzi wa kuruhusu sekta ya utalii kuchipua mwaka 1992 kama njia ya kuongeza vyanzo vya mapato na kuinua hali za maisha ya wananchi wake.<br />Kutokana na umuhimu wa sekta hiyo, mwaka 1996, Dk Salmin aliamua kuanzisha kamisheni ya Utalii na kutunga sheria No. 9 ya mwaka 1996 ambayo inasimamia sekta hiyo.<br />Uamuzi huo, uliwashtua watu wengi na kupata upinzani wa chini kwa chini kwa vile faida zake zilikuwa hazionekani wakati huo.<br />Hatua hiyo, ilisababishwa na wasiwasi wa baadhi ya wananchi kuwa suala hilo linahusu mila na utamaduni, na kuhofia kuathirika kwa utamaduni wa Mzanzibari.<br />Hata hivyo malengo ya Dk. Salmin yalionekana tofauti na mawazo yao, kwa vile sekta hiyo hivi sasa imeleta faida kubwa kwa serikali na wananchi wake baada ya bei ya zao la karafuu kuporomoka katika soko la dunia.<br />Zao la karafuu lilitegemewa sana katika kuchangia pato la taifa tangu utawala wa kifalme wa Sultani na baada ya mapinduzi ya Zanzibar kwa vile mzunguko mkubwa wa fedha kwa wananchi wake ulitegemea zao hilo.<br />Mwenyeketi wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZTC) Issa Ahmed Othman anasema sekta ya utalii Zanzibar kwa sasa inachangia asilimia 20 ya pato la taifa kutokana na watalii wanaotembelea Zanzibar kutoka nchi mbalimbali duniani hasa Ulaya.<br />Anasema kuwa kuanzia mwezi wa Julai hadi Desemba mwaka jana, watalii wapatao 135,000 walitembelea Zanzibar, kiwango ambacho ni kikubwa kulinganishwa na watalii 125,443 waliotembea Zanzibar kipindi kama hicho mwaka 2005.<br />Alisema katika kipindi cha Januari pekee mwaka huu, watalii 14,117 walitembelea Zanzibar, kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika kipindi cha mwezi mmoja kutembelewa na idadi kubwa ya watalii kama hiyo.<br />Mwenyekiti alisema kuwa, zipo sababu tatu za kuimarika sekta ya utalii Zanzibar, ikiwemo kwamba Zanzibar haina majanga ya kutisha, utulivu wa kisiasa, pamoja na kuwa na maeneo mengi yanayowavutia watalii.<br />Hata hivyo alisema, sekta hiyo inakabiliwa na matatizo makubwa mawili, kukosekana kwa watu wenye taaluma ya juu katika sekta ya utalii, kukosekana kwa soko la vyakula na matunda na hivyo kulazimika kutegemea kutoka nje ya Zanzibar.<br />``Sekta ya utalii ina tatizo la ukosefu wa watu wenye taaluma ya utalii na kulazimika nafasi nyingi kushikwa na watu kutoka nje ya Zanzibar,`` Akasema Mwenyekiti huyo.<br />Alisema kuwa, wakati Chuo cha Utalii Zanzibar- Maruhubi, kinatoa wanafunzi wenye kiwango cha cheti, uwekezaji wa utalii Zanzibar unakua na unahitaji watu wenye taaluma ya stashahada na shahada ya Chuo Kikuu.<br />Aidha alisema kwamba kumefika wakati Zanzibar iwe na shirika lake la ndege, kwa vile ina uwezo wa kulitumia soko hilo kwa watali wanao safari kati ya Zanzibar na mataifa ya Ulaya na Tanzania Bara.<br />``Watalii wanaosafiri kati ya Zanzibar na mikoa ya Tanzania Bara kuangalia vivutio vya utalii, bado hawana uhakika wa usafiri wa anga kwa vile ndege zinazotumika ni ndogo,`` Anasema Mwenyekiti.<br />Alisema kuwa, ni kweli Zanzibar ina mchango wake katika Shirika la Ndege la Tanzania (ATC) lakini tangu shirika hilo kubinafsishwa, na Serikali ya Muungano, limeimarisha zaidi safari zake kati ya Tanzania na Afrika Kusini wakati watalii wanatembelea Zanzibar wanatoka nchi za Magharibi na Ulaya.<br />Alisema kwamba, pamoja na mafanikio yaliyopatikana, sekta ya utalii Zanzibar inahitaji kuimarishwa katika sekta ya ulinzi ili kuwaondolea usumbufu watalii.<br />``Utaratibu wa kuwafanyia upekuzi watalii kwa kufungua mabegi yao na kuyapekua, umepitwa na wakati, lazima tuwe na vifaa vya kisasa ili tusiwapotezee muda wao wanapopita uwanja wa ndege,`` alisema Bw Othman.<br />Hata hivyo alisema ni kweli unapowakawiza wawekezaji, kuna faida na hasara lakini la msingi ni kuendelea kuheshimu mila na utamaduni.<br />``Unapokaribisha uwekezaji, ni sawa na kufungua dirisha, kila mdudu ataingia wakiwemo mbu na inzi. Cha msingi ni kuheshimu mila na utamaduni kama kweli tunataka kuwa na jamii bora `` Anasema Mwenyekiti huyo.<br />Akasema kwamba jambo la msingi lazima wanaume wakubali kubadili tabia, kwa vile wao ndio wanaoimarisha biashara ya ukahaba, na sio haki kuwachukulia hatua wanawake wanaojiuza kwa kutumia vibaya sekta ya utalii.<br />Aidha anasema kwamba, sekta ya utalii hadi hivi sasa inahitaji kuwa na mfumo mpya wa ukusanyaji mapato kutoka katika sekta hiyo ili takwimu sahihi ziwe zinapatikana.<br />Akasema kuwa hivi sasa vyombo ni vingi vinavyokusanya mapato, ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Baraza la Manispaa, Halmashauri za Wilaya, pamoja na jumuiya zisizokuwa za serikali zinazojishughulisha na sekta hiyo.<br />Anasema kwamba, sera ya utalii iliyopitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, itafanikiwa kama taasisi zote za serikali zitaamuwa kuimarisha sekta za miundo mbinu, kilimo na uvuvi, ili Zanzibar iondoke katika kutegemea bidhaa za vyakula kutoka Tanzania bara katika soko hilo.<br />Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar, Bw Mohamed Ismail anasema kwamba wameamua kufanya ukaguzi usiku katika mahoteli ya kitalii baada ya kujitokeza vitendo vya udangayifu kwa wawekezaji.<br />Akasema kwamba maafisa wa bodi hiyo, wamekuwa wakifanya kazi saa 24, ikiwemo kukagua vyumba vya hoteli ambavyo havina wageni ili kuweka kumbukumbu sahihi za ulipaji kodi.<br />``Kuna baadhi ya wafanyabiashara, walikuwa wanapokea wageni 200 kwa siku, lakini wanalipia kiwango kidogo cha wageni, na utaratibu huu wa kufanya ukaguzi umetusaidia sana,`` Akasema kamishna Ismail.<br />Akasema kwamba, ukusanyaji wa mapato Zanzibar umeongezeka kwa asilimia 105.4 kutoka mwaka 1999 hadi mwaka wa fedha wa 2005/2006.<br />Akasema katika mwaka huu wa fedha bodi hiyo inatarajia kukusanya sh bilioni 60 kutoka sh bilioni 44.3 ambapo kila mwezi wanatarajiwa kukusanya sh bilioni tano badala ya sh bilioni 3.5.<br />Alisema kwamba, fedha hizo zinatoka katika vyanzo vitatu vya mapato ikiwemo sekta ya Utalii,mafuta na biashara.<br />Hata hivyo, baadhi ya wananchiZanzibar,wanasema sekta ya utalii Zanzibar imeyumbisha mila na utamaduni wa Mzanzibari kwa vile mavazi mengi wanaovaa vijana wakiwemo wasichana hayana tofauti na wanayovaa watalii wanayotoka nchi za ulaya.<br />``Zanzibar haikuwa rahisi kumuona msichana kavaa nguo fupi kitovu wazi,au nywele wazi, lakini hivi sasa ni vitu vya kawaida , na tunaamini hali hii imechangiwa na utandawazi katika sekta ya utalii,``Akasema Bw Abdulrahman Saleh mkazi wa Mkunazini.<br />Sheikh Suleiman Masoud wa Mtaa wa Kiponda anasema kuwa pamoja na sekta ya utalii kutoa mchango mkubwa, bado serikali inapasa kuwaeleimisha watalii wanapofika Zanzibar kuvaa nguo za heshima wanapotembelea mitaa mbalimbali hasa mji mkongwe.<br />``Tunaifundisha jamii yetu nini, kama wageni wanapita mitaani huku nguo za ndani zikionekana?<br />Tusijaribu kuacha utamaduni wetu, bado muda wa kuwaelimisha wageni upo,`` Akasema Zainab Kombo mkazi wa Vuga.<br />Pamoja na kuimarika kwa sekta ya Utalii Zanzibar, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ),bado inahitajika kuimarisha Chuo cha Utalii kilichopo Marhubi, ili vijana waweze kunufaika na sekta badala ya kuajiri vijana kutoka nchi jirani za Kenya, na Uganda.<br />Aidha sheria ya kazi No 3 ya mwaka 1997,na marekebisho yake lazima isimamiwe vizuri na kamisheni ya kazi Zanzibar ili iweze kuwanufaisha wafanyakazi wazalendo, ambao wana tofauti za mishahara kwa asilimia zaidi ya 80 na wafanyakazi wenzao wageni.<br />Pamoja na sheria hiyo, kuwapa uwezo maafisa wa kamisheni ya kazi kuhakikisha mikataba ya kazi wanaikagua kabla ya kufikiwa, kati ya wawekezaji na wafanyakazi wa kizalendo,lakini mikataba isiyozingatia sheria imeendelea kuwa kero katika sekta hiyo.<br />Wafanyakazi wengi wa kizalendo, wamekuwa wakifungishwa mikataba ya muda mfupi na kushindwa kunufaika na sheria ya mfuko wa Hifadhi wa Jamii Zanzibar,(ZSSF),kutopatiwa posho ya likizo, nyumba, matibabu, pamoja na malipo ya kazi za ziada.<br />mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-53641387478480643242007-03-31T05:44:00.000-07:002007-03-31T05:48:18.781-07:00Mrema amcharukia Tao kwa madai ya MahakamaNa Aisha Mbaga<br /><br />MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Agustine Mrema, amesema amekanusha taarifa za kuwa amezuiwa na Mahakama Kuu kufanya shughuli za chama wala kutumia fedha kama inavyoelezwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Hamadi Tao.<br /><br />Kauli hiyo ya Mrema, imetokana na taarifa ya Tao, ambayo ambayo amelieleza Tanzania Daima kwamba mahakama imetia uamuzi wa kumzuia Mrema asijiusishe na kazi za chama wala kutumia fedha za chama hicho.<br /><br />Akizungumza kwa njia ya simu jana Mrema, alisema kuwa, yeye hajashindwa kesi na pia hajapewa barua ya kufungiwa kwa chama chake na kuzuiwa kuitisha kikao cha kamati kuu ya chama hicho.<br /><br />Mrema alisema kuwa, yaliyopo mahakamani ni malalamiko na kila mtu ana uhuru wa kwenda Mahakamani kupeleka malalamiko yake na akasikilizwa hivyo Tao anahaki hiyo asubiri maamuzi ya Mahakama yatakaposikiliza lalamiko lake.<br /><br />Pia alisema kuwa,TLP kwa sasa haimtambui Tao kuwa ni mwanachama wa chama hicho kwakuwa Kikao cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya chama hicho kilimfukuza uanachama yeye na wenzake 23 baada ya kubainika kuwa ni waasi wa chama hicho.<br /><br />"Siwezi kuacha kuendelea na shughuli za chama changu kwa kuwa sijapewa barua ya kusimamisha shughuli na TLP bado haijavunjwa, pesa tunazotumia ni kwaajili ya shughuli za chama na katiba yetu inaturuhusu kutumia pesa za chama kwa shughuli za chama,"alisisitiza Mrema.<br /><br />"Ndugu Mwandishi huyo Tao,kuwa nae makini kwakuwa ana kila dalili za kuchanganyikiwa akili kwakuwa ni yeye mwenyewe ndiye aliyeenda kufungua Mahakama Kuu,akipinga kufukuzwa uanachama, sasa mahakama bado haijatoa uamuzi.....yeye ameishaanza kupita kwenye vyombo vya habari kuwaletea habari za uongo ambazo msipokuwa makini naye mkazichapisha gazeti letu litaishia kushitakiwa kwaajili yake",alisema Mrema.<br /><br />"Tao nakwambia usinifuate futae, mimi siyo saizi yako, tulia nyumbani kwako usubiri mahakama itatoa uamuzi gani kwenye kesi iliyofungua....kwanza kitendo hichi unacho kifanya ni kinyume na sheria kwakuwa mahakama bado haijatoa uamuzi wewe unapita kwenye vyombo vya habari kusema bahari za uongo ambazo mahakama haijazisema na sema hivi mchezo huo unaidharirisha mahakama yetu ambayo tunaimani nayo." alisema Mrema.<br /><br />Hata hivyo Mrema aliviomba vyombo vyote vya habari kuwa makini na Tao, kwakuwa amekuwa akitoa taarifa za uongo kuhusu shauri lililopo mahakamani kuwa limeishatolewa uamuzi jambo ambalo si kweli.<br /><br />Mrema alisema hawatishiki na kauli za Tao na kusema kuwa TLP itaendelea na shughuli za kichama kama kawaida kwakuwa ni moja ya haki za msingi ya chama hicho na kuongeza kuwa April 3,mwaka huu, chama chake kitafanya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa na Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Professa Ibrahim Lipumba, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.<br /><br />Mapema jana asubuhi aliyekuwa Katibu wa chama hicho Hamadi Tao, alitembelea ofisi za gazeti hili alisema Mahakama Kuu,imezuia vikao vya TLP hadi itakapotoa maamuzi lakini ameshangazwa na kitendo cha Mrema kuitisha kikao cha kamati kuu bila kuwashirikisha.<br /><br />Tao alisema kuwa, kutokana na kufukuzwa uanachama wa TLP walifungua kesi Mahakama Kuu wakidai fidia ya Milioni tano na kutaka kusimamisha kwa shughuli zote za chama hadi Mrema kutokana na ubadhirifu wa fedha za chama hicho unaofanywa na Mrema kwa manufaa yake mwenyewe.<br /><br />Alisema kuwa, pia wamefungua kesi nyingine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba kukaguliwa kwa mahesabu ya TLP na wakaguzi wa serikali ili kubainisha matumizi sahihi ya chama hicho.<br /><br />Tao aliongeza kuwa, Katika kesi iliyopo Mahakama Kuu namba 138 ya mwaka 2006, wanaiomba Mahakama pia iwarudishie uongozi wao na kutambuliwa kama wanachama halali wa chama hicho na kesi ya Kisutu wanaiomba Mahakama isimamishe shughuli zote za chama hicho ikiwa ni pamoja na kuzuia matumizi ya fedha za chama hicho.<br /><br />Mwisho.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-73483956559536334732007-03-31T05:04:00.000-07:002007-03-31T05:44:07.861-07:00Na Aisha Mbaga<br /><br />Mpenzi msomaji wa safu hii nakukaribisha tena uungane nami katika chumba changu hiki cha mahaba tuweze kujimwayamwaya na kujinafasi kwa raha zetu.Wiki uliyopita tulikuwa tukizungunzia udhaifu wa wanaume katika suaka zima la mapenzi na sababu zinazopelekea wao kuwa katika hali hiyo.tilibaini kuwa kwa upande mwingine wanakuwa na usongo wa kutimiza lengo hivyo wanapofika katika mchezo wakajikuta wameshindwa kuukwea mnazi, upande mwingine ni maumbile ya kibaiolojia na upande mwingine wanawale tunachangia kwa kutokuwa makini ama kujihusisha na mapenzi kwa wakati.leo nataka kuueleza jinsi wanawake walivyo wezi wa mabwana wa mashoga zao na jinsi wanavyoweza kusambaratisa penzi lililoota mizizi.<br />mwanamke anapotaka kukufanyia unyama kwa mpenzio hashindwi haswa pale unapokuwa umemweka karibu na mpenzio.kila mwanamke huwa na shoga na wengine hupenda kusema mambo ya kweli wanayoyapenda wapenzi wao na kumpa nafasi kubwa rafiki yake pale anapotaka kuporomosha penzi hilo.mwanamke anamitego mingi kwa mwanaume ikia i pamoja na kumpelekea zawadi ambazo mpenzi wake hampi.kumfanyia mambo ya mahaba ambayo hayapati kwa mpenzi wake na kisha kumtega kwa vivazi, na urembo wa asili. kina mavazi ambayo yamnamvutia mwanaume apende asipende, atatamani kuwa na wewe, mavazi haya si lazima yawe mini sket au top na pedo, waweza vaa hata baibui lakii kutokana na jinsi lilivyo likamvutia mwanaume na kujikuta anashindwa kujizuia na kuingia katika mtego wa mhaba mazito ambayo anadhani kuwa atayapatantoka kwako. kinachosababisha matatizo haya ni kutokana na kuaminiana kwa hali ya juu kati ya mashoga hawa na kuambiana siri zao za ndani juu ya wapenzi wao. ukweli ni kwamba, usipende kumweleza rafii yako mambo ya anayokufanyia mpenzio kwani unampa nafasi ya kuweza kumteka hususani anapojua kuwa mpenzio anaudhaifu gani. kama kunaulazima wa kuhadithiana juu ya wapenzi wenu, kuwa makini na wakati mwingine ni heri umwambia rafukiyo uongo ili kuweza kulinda penzi kwani kikulacho kinguoni kwako. wanawake wengi hawapendi kuona mwenzao kafanikiwa, ama kuona penzi la mtu likiwa imara, ni dhahiri kuwa wapo wanaochukia na kutafuta mbinu za kuliporomosha hata wakishindwa wao watatumia watu wa pembeni yenu bila ya wewe kujua kuwa shoga, rafikiyo mkubwa anakugeuka na kukuzunguka. waweza kusema sitaki kuwa na rafiki mwanamke kutokana na tabia za baadhi yao kuwa za unafiki na wivu kwa maendeleo ya mtu. kama ujuavyo mapenzi ni makubaliano kati ya watu wawili na yanaweza kuvunika muda wowote endapo wanaweza kushindana na kutofikia malengo. hilo si jambo la ajabu kwani ndio maana hata leo tunaweza kuona kwenye baadhi ya michezo ya tamthilia watu wakiamua kutalikiana ili kila mtu aishi kwa amani. ni mara chache sana waweza kumuona mwanake anasikitika kwa kuona penzi la mtu likiishia mitini hususan pale watu hawa wanapokuwa wachumba ama ndio kwanza wanaanza, achilia mbali waliooana na kuchokana. wanawake wengi wako makini kuhakikisha kuwa ndoa ya mtu fulani haifungwi na kufanikiwa kuvunja uchumba wa wawili hawa na wakati mwingine ndo kwanza maapenzi yanaanza lakini yataingiliwa na kidudu mtu na kuharibiwa. yote haya ni kutokana na mashoga na chanzo ni kupeana siri za wachumba wenu. tuweni makini na tuache kuaminiana kwani umwaminiye ndiye adui yako.<br /><br />napenda kuwashukuru wasomaji wangu walionipigia simu na kunipongeza na pia kunipa ushauri, nakarubisha maoni yenu kwangu na nitayafanyia kazi bila kusita. pia napenda kumpa pole mama yangu ambaye aliniambia kuwa mumewe amekuwa kicheche kwa kutembea na watoto wadogo anaoweza kuwazaa bila kujali walipotoka na uzee walionao. napenda kumshauri mama huyu kutoka Tabata jijini Dar es Salaam kuwa asijali kuona mumee kamsaliti kwani hiyo ni kawaida ya wanaume wengi ila lamsingi namshauri amwombe wakapime afya zao kulingana na hali tuliyonayo.<br /><br />kwa maoni na ushauri wasiliana nami kwa simu namba 0755-690690 au kwa barua pepe <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a>Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-74125934914871868302007-03-31T05:02:00.000-07:002007-03-31T05:04:37.507-07:00Na Aisha Mbaga<br />MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Agustine Mrema, amesema amekanusha taarifa za kuwa amezuiwa na Mahakama Kuu kufanya shughuli za chama wala kutumia fedha kama inavyoelezwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Hamadi Tao.<br />Kauli hiyo ya Mrema, imetokana na taarifa ya Tao, ambayo ambayo amelieleza Tanzania Daima kwamba mahakama imetia uamuzi wa kumzuia Mrema asijiusishe na kazi za chama wala kutumia fedha za chama hicho.<br />Akizungumza kwa njia ya simu jana Mrema, alisema kuwa, yeye hajashindwa kesi na pia hajapewa barua ya kufungiwa kwa chama chake na kuzuiwa kuitisha kikao cha kamati kuu ya chama hicho.<br />Mrema alisema kuwa, yaliyopo mahakamani ni malalamiko na kila mtu ana uhuru wa kwenda Mahakamani kupeleka malalamiko yake na akasikilizwa hivyo Tao anahaki hiyo asubiri maamuzi ya Mahakama yatakaposikiliza lalamiko lake.<br />Pia alisema kuwa,TLP kwa sasa haimtambui Tao kuwa ni mwanachama wa chama hicho kwakuwa Kikao cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya chama hicho kilimfukuza uanachama yeye na wenzake 23 baada ya kubainika kuwa ni waasi wa chama hicho.<br />"Siwezi kuacha kuendelea na shughuli za chama changu kwa kuwa sijapewa barua ya kusimamisha shughuli na TLP bado haijavunjwa, pesa tunazotumia ni kwaajili ya shughuli za chama na katiba yetu inaturuhusu kutumia pesa za chama kwa shughuli za chama.<br />"Ndugu Mwandishi huyo Tao,kuwa nae makini kwakuwa ana kila dalili za kuchanganyikiwa akili kwakuwa ni yeye mwenyewe ndiye aliyeenda kufungua Mahakama Kuu,akipinga kufukuzwa uanachama, sasa mahakama bado haijatoa uamuzi.....yeye ameishaanza kupita kwenye vyombo vya habari kuwaletea habari za uongo ambazo msipokuwa makini naye mkazichapisha gazeti letu litaishia kushitakiwa kwaajili yake.<br />"Tao nakwambia usinifuate futae, mimi siyo saizi yako, tulia nyumbani kwako usubiri mahakama itatoa uamuzi gani kwenye kesi iliyofungua....kwanza kitendo hichi unacho kifanya ni kinyume na sheria kwakuwa mahakama bado haijatoa uamuzi wewe unapita kwenye vyombo vya habari kusema bahari za uongo ambazo mahakama haijazisema na sema hivi mchezo huo unaidharirisha mahakama yetu ambayo tunaimani nayo." alisema Mrema.<br />Hata hivyo Mrema aliviomba vyombo vyote vya habari kuwa makini na Tao, kwakuwa amekuwa akitoa taarifa za uongo kuhusu shauri lililopo mahakamani kuwa limeishatolewa uamuzi jambo ambalo si kweli.<br />Mrema alisema hawatishiki na kauli za Tao na kusema kuwa TLP itaendelea na shughuli za kichama kama kawaida kwakuwa ni moja ya haki za msingi ya chama hicho na kuongeza kuwa April 3,mwaka huu, chama chake kitafanya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa na Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Professa Ibrahim Lipumba, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.<br />Mapema jana asubuhi aliyekuwa Katibu wa chama hicho Hamadi Tao, alitembelea ofisi za gazeti hili alisema Mahakama Kuu,imezuia vikao vya TLP hadi itakapotoa maamuzi lakini ameshangazwa na kitendo cha Mrema kuitisha kikao cha kamati kuu bila kuwashirikisha.<br />Tao alisema kuwa, kutokana na kufukuzwa uanachama wa TLP walifungua kesi Mahakama Kuu wakidai fidia ya Milioni tano na kutaka kusimamisha kwa shughuli zote za chama hadi Mrema kutokana na ubadhirifu wa fedha za chama hicho unaofanywa na Mrema kwa manufaa yake mwenyewe.<br />Alisema kuwa, pia wamefungua kesi nyingine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba kukaguliwa kwa mahesabu ya TLP na wakaguzi wa serikali ili kubainisha matumizi sahihi ya chama hicho.<br />Tao aliongeza kuwa, Katika kesi iliyopo Mahakama Kuu namba 138 ya mwaka 2006, wanaiomba Mahakama pia iwarudishie uongozi wao na kutambuliwa kama wanachama halali wa chama hicho na kesi ya Kisutu wanaiomba Mahakama isimamishe shughuli zote za chama hicho ikiwa ni pamoja na kuzuia matumizi ya fedha za chama hicho.<br /><br />Mwisho.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-6813143995127175812007-03-29T02:58:00.000-07:002007-03-29T03:03:05.700-07:00Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-80426471965875787922007-03-29T02:56:00.000-07:002007-03-29T02:57:21.738-07:00Utalii; Kitovu cha Maendeleo<br />Visiwa hivi vya marashi ya Karafuu, ni maarufu kwa fukwe zake maridadi, matumbawe<br />na mji wenyewe wa kihistoria; Mji Mkongwe. Kwa maana hiyo, utalii ni sekta muhimu<br />katika uchumi wa Zanzibar na huchangia asilimia 26 kwa pato la taifa na uchangiaji huo<br />unatarajiwa kukua kwa kati ya asilimia 5 na 10 kwa mwaka.<br />Manispaa ya Zanzibar ni injini muhimu zaidi katika sekta ya utalii. Mji huu ndio lango<br />kubwa la watalii, achilia mbali wenyewe kuwa kivutio. Kabla ya watalii kwenda pwani ya<br />mashariki, kwa kawaida hukaa kwa muda katika Mji Mkongwe kufurahia mandhari yake<br />(tazama ramani 2.1)<br />Moja Ya Sehemu Za Ufukwe Kisiwani Zanzibar<br />Mitaa myembamba ya mji huu, hali ya hewa iliyotulia, majengo ya kale, milangu<br />inayopendeza iliyochongwa kwa mtindo wa aina yake ya kuviringwa, maegesho na<br />fukwe ndivyo vitu vinavyowavutia zaidi watalii hapa. Mji huu Mkongwe unazo hoteli<br />nyingi, migahawa na maduka kwa watalii ambayo pia hutoa ajira kwa watu kutoka<br />Unguja, Pemba na hata Tanzania Bara.<br />Idadi ya hoteli zenye hadhi za kulaza wageni imeongezeka kwa kiasi kikubwa katika<br />kipindi cha miaka mitano iliyopita. Hata hivyo, hakuna uhakika wa hasa ni hoteli ngapi<br />zinazolaza watalii mjini hapa. Makadirio mengi yanaonyesha kwamba kuna vyumba<br />karibu 20,000 vya kulala kote kisiwani, na takriban asilimia 50 ya hizo, iko mjini.<br />Kamisheni ya Utalii ilirekodi ongezeko la asilimia 25 ya vyumba vinavyokodishwa kwa<br />watalii tangu mwaka 1987 hadi 1997. Jumla ya watalii walirekodiwa kuingia uwanja wa<br />ndege na kwenye bandari mbalimbali katika kipindi hicho, ni 587,640.<br />Sera ya Utalii Zanzibar imekuwa ikiegemea katika falsafa ya ubora wa hali ya juu na ujazo<br />mdogo wa watalii, mambo yanayoleta mapato makubwa kiuchumi kutoka kwenye sekta<br />hiyo, kwa ajili ya watu ambao ni wengi kisiwani, huku kukiwa na rasilimali chache.<br />Mwaka 1997, zaidi ya watalii 86,000 walitembelea Zanzibar wakati mwaka 1998, zaidi ya<br />watalii 100,000 walitarajiwa (tazama chati juu ya idadi ya watalii).<br />Japokuwa majengo ya kale hayapo Mji Mkongwe pekee, umaarufu wake unatokana<br />zaidi na kuwa mji wa kihistoria ambao pia ni makazi, ukiwa na majengo yenye<br />kupendeza, milango ya aina yake iliyoviringwa juu na kurembwa vilivyo, mitaa<br />myembamba ambayo watalii huishangaa na kufurahia sambamba na maisha ya jumla ya<br />Zanzibar.<br />Kivutio kingine kwa watalii ni rasilimali za bahari zilizopo. Ni kweli kwamba fukwe<br />zilizoko ndani ya Manispaa ya Zanzibar ni chache, visiwa vilivyo mbele ya mji, vina<br />matumbawe ya kupendeza ambayo ni maridhawa kwa ajili ya kuzamia na hata kupiga<br />mbizi. Uvuvi Kisiwani Zanzibar na Tabia Zake<br />Mazingira ya uvuvi Zanzibar ni ya kupendeza na inakadiriwa kwamba mwaka 1997, kiasi<br />cha watu 12,000 walirekodiwa kama wavuvi na vyombo vya uvuvi vilivyokuwepo wakati<br />huo ni 2,700.<br />Idadi kubwa ya watu (kwa mfano mwaka 1990, watu 6,000 kwa Pemba na Unguja),<br />hufanya kazi hutoa huduma katika sekta hii na huduma zihusianazo. Asilimia 22 ya<br />bajeti za kaya hutumika kununua samaki ambao ni chanzo kikubwa cha protini<br />Zanzibar, hasa kwa wale wenye kipato kidogo.<br /> Manispaa ya Zanzibar ina vituo tisa vya kuvulia samaki ambavyo ni Malindi,<br />Malindi/jetty, Kizingo, Forodhani, Maruhubi, Kilimani, Mtoni, Mazizini na Bububu<br />(tazama ramani 2.3). Wastani wa samaki wanaovuliwa baharini katika maeneo ya Unguja<br />na kuletwa Manispaa ya Zanzibar ni takriban tani 2,273 kwa mwaka. Idadi ya samaki<br />wanaovuliwa kote Zanzibar ni kati ya tani 10,000 hadi 20,000 kwa mwaka na hii ni kwa<br />mujibu wa utafiti uliofanywa na Kamisheni ya Ardhi na Mazingira. <br /> Wavuvi wenyeji hutumia karibu asilimia 96 ya samaki wanaowavua kwa soko la hapa<br />hapa, na wanaouzwa nje ni asilimia 4 tu. Kwa sasa, Manispaa ya Zanzibar ina kampuni<br />moja tu ya uvuvi iliyosajiliwa, yenyewe ikijulikana kama ZAFFICO. Ina waajiriwa wa<br />kudumu 60.<br />Wavuvi wengi wana vifaa duni na ndio sababu hasa ya uchache wa samaki wanaovuliwa.<br />Japokuwa takwimu zilizopo na za kuaminika hazitoshi, kuna vyanzo vinavyoonyesha<br />kwamba jumla ya idadi ya samaki waliopo kwenye maeneo haya, inapungua.<br /> <br />Uvuvi katika Manispaa ya Zanzibar unahusisha wale wavuvi wa asili na wengine ambao<br />wamekuja kufanya hivyo baadaye kwa sababu za kibiashara. Hawa wa asili,<br />wanaoonekana kama wasanii, hutumia vyombo vya uvuvi vya kijadi na mbinu za<br />kizamani, tofauti na wale wa kisasa ambao hutumia boti au vifaa vyenye injini. <br />Hawa wa asili huweza pia kutumia mishipi au fito na huweza kupata samaki wa<br />miambani na wa maji wazi kama kingfish na tuna. Wale wavuaji wa kibiashara zaidi<br />hupata samaki wa jamii ya bangala na wengine wadogo wadogo.<br />Samaki walioletwa Manispaa ya Zanzibar na kiasi chake kwa tani, thamani ikiwa katika<br />milioni za shilingiUchimbaji Zanzibar ni wa aina ndogo, ukilenga zaidi katika mchanga, mawe,<br />changarawe, chokaa na mchanga wa fukweni. Maeneo haya ya machimbo ni ya saizi<br />ndogo na ya kati na yamesambaa maeneo mbalimbali kisiwani.<br /> Maeneo rasmi ya machimbo ni machache nje ya mipaka mipya ya mji, mmoja ukiwa ni<br />wa mchanga, katika eneo lenye ukubwa wa hekta mbili kwenye Wilaya ya Kaskazini B<br />na mengine mawili ya uchimbaji mawe na eneo moja la uchimbaji chokaa Wilaya ya<br />Magharibi. Mjini hakuna eneo rasmi la machimbo lakini hayo yaliyopo nje, hutumika<br />kwa ajili ya mji huu kwani inakadiriwa kwamba asilimia 90 ya yanayochimbwa huletwa<br />mjini.<br />Bidhaa hizo hutumika zaidi kwa ajili ya shughuli za ujenzi. Kuna maeneo mengine mengi<br />yasiyo rasmi, hasa kwa ajili ya kuchimba mchanga na ambayo hutumiwa ndani ya<br />manispaa, hasa katika maeneo jirani. Mchanga unachimbwa pia kinyume cha sheria<br />kwenye maeneo kama Mpiga Duri, Daraja Bovu, Amani, Welezo na Mpendae na<br />maeneo mengine kwenye kingo za mito. Ni vigumu kudhibiti hali hii kwani wachimbaji<br />hufanya kazi hiyo usiku. Jasi na udongo huchimbwa Mtoni, Chumbuni na Magogoni. <br />Ni kawaida kuona ngamia au ng’ombe dume wakibeba nyenzo hiyo vya ujenzi. Maeneo<br />yaliyoathirika zaidi ni Amaani, Magogoni na Maruhubi. Vitendo hivyo visivyo rasmi na<br />visivyoratibiwa katika Manispaa ya Zanzibar, vilisababisha mjadala mkali kwenye Baraza<br />la Wawakilishi kutokana na mmomonyoko wa ardhi. Japokuwa ilikubaliwa wizara husika<br />ichukue hatua, hali imebaki kuwa hivyo hivyo<br /> Kilimo kimekuwa daima na umuhimu mkubwa kwa uchumi wa Zanzibar. Siku<br />zilizopita, uchumi ulitegemea kwa kiasi kikubwa mauzo ya karafuu na nazi nje ya nchi.<br />Hata hivyo, kupungua kwa bei kwenye masoko, kunaathiri kwa kiasi kikubwa mazao<br />hayo.<br />Katika Manispaa ya Zanzibar, kilimo kina mguso kidogo katika maendeleo ya mji.<br />Kilimo cha mjini ni kidogo, kama bustani tu na wajibu wa mji huu katika kilimo, ni kwa<br />vile tu mji huu ni soko kubwa kwa bidhaa za kilimo. Katika Mji Mkongwe hapafanyiki<br />kilimo, bali kinafanyika maeneo ya Ng’ambo lakini nako, kilimo kinashuka.<br />Maeneo ambayo kilimo kinafanyika zaidi ni Kilimani, Maruhubi, Saateni, Migombani -<br />Kaburi Kikombe, Kwaalinatu - Ziwani, Chumbuni, Mtoni, Kwahani na Sebleni, maeneo<br />yenye kiasi cha hekta 95. Mengi ya maeneo haya huzalisha chakula na mengine<br />yamegeuka kuwa mabwawa, hasa nyakati za mvua. Mpunga ndio zao kubwa linalolimwa<br />huko, likifuatiwa na ndizi na mboga kama vile spinachi, kabichi na nyinginezo. Katika<br />maeneo makavu kisiwani, viazi vitamu na mihogo hulimwa pia.<br />Maeneo haya yanatambuliwa rasmi na Wizara ya Kilimo, na wakazi hujitahidi kupanda,<br />japo miti michache ya matunda kwenye maeneo ya nyumba zao. Wengi wanaojihusisha<br />na kilimo cha mjini ni wanawake.<br />Mifugo kisiwani ipo pia, nayo ni kama ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, bata na paka<br />ambao hupatikana maeneo ya Ng’ambo. Kuku na bata ndio wapo kwa wingi,<br />wakifuatiwa na ng’ombe na mbuzi. Maeneo ya Ng’ambo yenye mifugo mingi zaidi ni<br />Kiembe Samaki, Mwanakwerekwe, Mtoni, Bububu. Chukwani na Chumbuni.<br />Kwa sasa, mifugo katika kisiwa chote, huchangia asilimia 12 ya pato la taifa. Kuna<br />mipango ya kuboresha zaidi sekta hii ili kupunguza utapiamlo na pia kufikia mahitaji<br />halisi kwa wakazi wa mjini na sekta ya utalii. Kwa mujibu wa sensa ya mifugo ya mwaka<br />1993, kuna mifugo 73,000 katika visiwa vya Pemba na Unguja na kati ya hiyo, 13,000<br />ipo Wilaya za Mjini na Magharibi.<br />Katika maeneo ya kingo za mji, kwenye udongo wenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ardhi<br />inagombewa kwa sababu mji nao unapanuka. Mashariki mwa mji, hasa maeneo<br />yaliyokuwa yakitumiwa kwa kilimo awali, sasa yanalazimika kuendelezwa kwa makazi.<br />Hali hii hupunguza maeneo ya uzalishaji chakula lakini pia husababisha mmonyoko wa<br />ardhi.<br /> Kilimo kimekuwa daima na umuhimu mkubwa kwa uchumi wa Zanzibar. Siku zilizopita,<br />uchumi ulitegemea kwa kiasi kikubwa mauzo ya karafuu na nazi nje ya nchi. Hata hivyo,<br />kupungua kwa bei kwenye masoko, kunaathiri kwa kiasi kikubwa mazao hayo.<br />Katika Manispaa ya Zanzibar, kilimo kina mguso kidogo katika maendeleo ya mji.<br />Kilimo cha mjini ni kidogo, kama bustani tu na wajibu wa mji huu katika kilimo, ni kwa<br />vile tu mji huu ni soko kubwa kwa bidhaa za kilimo. Katika Mji Mkongwe hapafanyiki<br />kilimo, bali kinafanyika maeneo ya Ng’ambo lakini nako, kilimo kinashuka.<br />Maeneo ambayo kilimo kinafanyika zaidi ni Kilimani, Maruhubi, Saateni, Migombani -<br />Kaburi Kikombe, Kwaalinatu - Ziwani, Chumbuni, Mtoni, Kwahani na Sebleni, maeneo<br />yenye kiasi cha hekta 95. Mengi ya maeneo haya huzalisha chakula na mengine<br />yamegeuka kuwa mabwawa, hasa nyakati za mvua. Mpunga ndio zao kubwa linalolimwa<br />huko, likifuatiwa na ndizi na mboga kama vile spinachi, kabichi na nyinginezo. Katika<br />maeneo makavu kisiwani, viazi vitamu na mihogo hulimwa pia.<br />Maeneo haya yanatambuliwa rasmi na Wizara ya Kilimo, na wakazi hujitahidi kupanda,<br />japo miti michache ya matunda kwenye maeneo ya nyumba zao. Wengi wanaojihusisha<br />na kilimo cha mjini ni wanawake.<br />Mifugo kisiwani ipo pia, nayo ni kama ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, bata na paka<br />ambao hupatikana maeneo ya Ng’ambo. Kuku na bata ndio wapo kwa wingi,<br />wakifuatiwa na ng’ombe na mbuzi. Maeneo ya Ng’ambo yenye mifugo mingi zaidi ni<br />Kiembe Samaki, Mwanakwerekwe, Mtoni, Bububu. Chukwani na Chumbuni.<br />Kwa sasa, mifugo katika kisiwa chote, huchangia asilimia 12 ya pato la taifa. Kuna<br />mipango ya kuboresha zaidi sekta hii ili kupunguza utapiamlo na pia kufikia mahitaji<br />halisi kwa wakazi wa mjini na sekta ya utalii. Kwa mujibu wa sensa ya mifugo ya mwaka<br />1993, kuna mifugo 73,000 katika visiwa vya Pemba na Unguja na kati ya hiyo, 13,000<br />ipo Wilaya za Mjini na Magharibi.<br />Katika maeneo ya kingo za mji, kwenye udongo wenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ardhi<br />inagombewa kwa sababu mji nao unapanuka. Mashariki mwa mji, hasa maeneo<br />yaliyokuwa yakitumiwa kwa kilimo awali, sasa yanalazimika kuendelezwa kwa makazi.<br />Hali hii hupunguza maeneo ya uzalishaji chakula lakini pia husababisha mmonyoko wa<br />ardhi.<br /> mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-66173509702683067772007-03-29T02:54:00.001-07:002007-03-29T02:56:04.364-07:00Usultani Hadi Taifa Huru<br /><br />Manispaa ya Zanzibar imegawanyika kihistoria katika maeneo mawili, nayo ni Mji Mkongwe na<br /><br />Ng’ambo. Kuibuka na kukua kwa maeneo haya tangu karne ya 19, kumekuwa katika misingi ya<br /><br />kiuchumi. Mji Mkongwe uliojengeka vema, ulikuwa kwa ajili ya matajiri na wasomi wakati viunga vya<br /><br />Ng’ambo, vikawa kwa ajili ya walalahoi.<br /><br />Mji Mkongwe ulianza kukua taratibu, awali kama makazi ya wavuvi kwenye Rasi ya Shangani katika<br /><br />karne ya 12. Ulikuwa mji wa Kiswahili hasa, baadhi ya watu wakijishughulisha na sanaa za mikono, na<br /><br />ikawa sehemu ya biashara zile ndefu zilizofanywa kwa njia ya bahari.<br /><br />Kunako karne ya 17, Malkia Fatima alipotawala Unguja ya Kati, Mji wa Zanzibar uligeuka na kuwa<br /><br />makao makuu ya falme yake. Alirithiwa na mwanawe Hasan, anayesemekana alifanya mengi katika<br /><br />ujenzi wa Mji Mkongwe. Kuingia kwa wafanyabiashara wa Kireno pamoja na wale wa Kiarabu mwaka<br /><br />1822, kulisababisha Waswahili kuhamia pande za mashariki mwa Mji Mkongwe.<br /><br />Utawala wa Wareno ulipoanza kusambaratika katika Afrika Mashariki, Waarabu wa Oman, ambao awali<br /><br />walikuja kama wafanyabiashara, walitwaa madaraka kisiwani Zanzibar. Waligeuza uchumi wa Zanzibar<br /><br />kutegemea zaidi kilimo cha mashamba makubwa, ndipo uzalishaji wa karafuu ukashamiri na kukipatia<br /><br />kisiwa umaarufu mkubwa. Japokuwa wamiliki ardhi hiyo walijenga nyumba mashambani, watu wengi<br /><br />walipendelea zaidi makasri kandokando ya bahari, karibu na hekalu la Sultani.<br /><br />Eneo ulipokuwa mji wa Zanzibar, lilikuwa jambo la umuhimu mkubwa, hasa wakati Sultani wa Oman,<br /><br />Seyyid Said alipokuja Zanzibar na akaamua kuufanya kuwa makao makuu. Iliripotiwa kwamba idadi ya<br /><br />watu kwenye mji huo ilikuwa kati ya 10,000 na 12,000.<br /><br />Ujio wa Sultani Seyyid Said, ulileta zama mpya kwani mji huo uligeuka kuwa kituo kikuu cha biashara<br /><br />katika Pwani ya Mashariki mwa Afrika. Misafara ya kibiashara ilistawi kwa kiasi kikubwa na yenye faida<br /><br />pia, ikihusisha uuzaji watumwa kutoka pwani hii. Watumwa hao walitumiwa kuzalisha bidhaa<br /><br />mbalimbali pamoja na dhahabu. Biashara ilistawi na misururu kutoka bara, ilileta pembe za ndovu,<br /><br />dhahabu na watumwa ambao walifanya kazi kwenye mashamba hayo makubwa.<br /><br />Ni mtawala huyo huyo ambaye aliweka misingi ya kuendeleza mji huu na pia, licha ya karafuu, mazao<br /><br />mengine yaliyozalishwa kwa kiasi kikubwa ni minazi. Uzalishaji wa mazao haya ya biashara, ulisaidia<br /><br />kukuza biashara, ikizingatiwa zaidi kwamba mji huu ulijaliwa kwa asili kuwa na bandari nzuri zaidi<br /><br />kisiwani. Bandari iligeuka kuwa kituo kikuu cha usambazaji na pia kutoa mwelekeo kamili wa hali ya<br /><br />biashara katika eneo hili.<br /><br />Kwa vile mazingira yalikuwa mazuri kwa ajili ya shughuli za kibiashara, watu kutoka mashambani<br /><br />walihamia mijini, wakisaka nafasi nzuri zaidi za ajira. Kwa misingi hiyo, ardhi ilihitajika kwa kiasi<br /><br />kikubwa kwa sababu za kibiashara. Zama hizi, Waarabu, Wahindi na Wapersia, walidhibiti umiliki wa<br /><br />ardhi kiasi cha kulazimisha wenyeji kununua ardhi kutoka kwa wamiliki wake kwa bei kubwa.<br /><br />Kwa vile wakati huo hapakuwepo mipango mahususi ya kulinda na kudhibiti maendeleo ya makazi<br /><br />mapya, ilifika hatua watu wakabuni makazi yasiyo na ramani kwenye eneo la Ng’ambo, jambo<br /><br />lililosababisha makazi kuwa katika hali ya chini, kukosekana huduma za kijamii na miundombinu<br /><br />muhimu.<br /><br />Mwaka 1890, Zanzibar iliwekwa chini ya uangalizi wa Uingereza, Sultani akiwa bado na madaraka<br /><br />makubwa ya kisiasa hata hivyo. Ni wakati huu ambapo, mipango mbalimbali ilianzishwa na chini ya<br /><br />mpango huu, Waarabu waliendeleza maeneo ya Kidongo Chekundu, Sebleni, Kwahani na kadhalika.<br /><br />Kabla ya uhuru, vyama kadhaa vya siasa tayari vilikuwa vikifanya kazi. Vyama vikuu vilikuwa Zanzibar<br /><br />National Party (ZNP), kilitawaliwa zaidi na wasomi ambao ni wachumi. Chama kingine kilikuwa Afro<br /><br />Shiraz (ASP), chama kilichokuwa na Waafrika wengi zaidi na kikiwa na mshikamano mkubwa wa<br /><br />makundi ya wanyonge.<br /><br />Katika uchaguzi wa mwisho kabla ya uhuru Julai mwaka 1963, ZNP kilichoshirikiana na chama kingine<br /><br />kidogo cha Pemba, kilifanikiwa kupata wingi wa kura katika baraza jipya la kutunga sheria na Desemba<br /><br />1963, Zanzibar ilikuwa huru kutoka kwa Waingereza. Mwezi mmoja baadaye, Januari 12 mwaka 1964,<br /><br />serikali mpya ya Sultani iliangushwa baada ya kufanyika mapinduzi visiwani.<br /><br />Sultani mwenyewe aliikimbia Zanzibar na ASP ikaingia madarakani na kuitawala nchi hadi mwaka 1977,<br /><br />kilipoungana na wenzao wa Tanzania Bara, TANU na kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho<br /><br />hadi leo kipo madarakani. Licha ya kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar<br /><br />imekuwa na mamlaka makubwa ya kiserikali kujitawala, isipokuwa kwa masuala ya muungano. Masuala<br /><br />hayo ya muungano ni kama vile ulinzi, sera za kigeni na mambo ya ndani. Zaidi ya hapo, Zanzibar inalo<br /><br />Bunge lake, likijulikana zaidi kama Baraza la Wawakilishi lakini pia, inawakilishwa katika Bunge la Jamhuri<br /><br />ya Muungano wa Tanzania, ikiwa na wabunge 50 huko.<br /><br />Mwaka 1995, muswada ulipitishwa na kuwa sheria iliyoanzisha mfumo wa vyama vingi vya siasa na<br /><br />katika uchaguzi wa kwanza, CCM ilishinda kama ilivyokuwa tena mwaka 2000 na uchaguzi wa tatu chini<br /><br />ya mfumo huo utafanyika mwaka 2005.<br /><br />Manispaa ya Zanzibar iko ndani ya eneo la Mjini Magharibi ambalo limegawanywa katika wilaya kuu<br /><br />mbili; Wilaya ya Mjini na Wilaya ya Magharibi, kila moja ikiwa na mkuu wa wilaya aliyeteuliwa na rais.<br /><br />Mipaka ya kiutawala kwa manispaa hii ni kama ile ya Wilaya ya Mjini. Hata hivyo, kwa mujibu wa<br /><br />michoro iliyotokana na mipango ya mwaka 1982, Mji unachukua eneo kubwa zaidi ya mipaka ya<br /><br />Manispaa na sehemu yake iko Wilaya ya Magharibi.<br /><br />Halmashauri ya Manispaa pia, huendesha shughuli zake kwenye maeneo hayo ya Wilaya ya Magharibi,<br /><br />ambayo kimsingi, yako nje ya mipaka ya awali (lakini ndani ya mipaka iliyowekwa kwa mipango ya Mji).<br /><br />Mipaka hiyo mipya bado haijaidhinishwa na Wizara ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa kuwa ndiyo<br /><br />mipaka rasmi ya manispaa.<br /><br />Hali hii ya utata wa mipaka ya zamani na mipya, inasababisha mgongano kati ya taasisi na vikundi<br /><br />nyingi. Kwa mfano, madiwani wa Wilaya ya Magharibi, hawapo kwenye Halmashauri ya Manispaa ya<br /><br />Zanzibar (ZMC), japokuwa ZMC yenyewe inaendesha shughuli zake. Kwa vile mji umekua na kupanuka<br /><br />zaidi ya manispaa, inaelekea haitachukua muda, mipaka ya manispaa yenyewe itabadilishwa. Kwa msingi<br /><br />huo, ripoti hii kwa hiyo, inafuata mipaka mipya iliyopendekezwa na Tume ya Ardhi na Mazingira<br /><br />(COLE) katika mpango ule wa mwaka 1982<br /><br />Japokuwa idadi ya kata kwenye Wilaya ya Magharibi ni 10, tatu tu ndizo ziko ndani ya mipaka hii<br /><br />mipya. Wilaya ya Mjini ina majimbo 13 wakati Wilaya ya Magharibi inazo tatu katika mipaka hiyo mipya.<br /><br />Kila jimbo huwakilishwa na mbunge na mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kwenye vyombo hivyo vya<br /><br />kutunga sheria Zanzibar na katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuna jumla ya kata 26 wilayani<br /><br />Mjini Magharibi na tatu kwenye Wilaya ya Magharibi.<br /><br />Kata hizo huwakilishwa kwenye Halmashauri ya Manispaa na madiwani wanaochaguliwa. Kwa sasa,<br /><br />madiwani kutoka Wilaya ya Mjini ndio wanawawakilisha wananchi kwenye Baraza la Manispaa ya<br /><br />Zanzibar.<br /><br />Meya huchaguliwa kutoka miongoni mwa madiwani. Kata zimegawanywa tena katika shehia na kila<br /><br />shehia ina kiongozi anayeitwa sheha. Wilaya ya Mjini ina shehia 39 wakati Wilaya ya Magharibi ina<br /><br />shehia 23, sita zikiwa ndani ya mipango mipya ya mipaka. Japokuwa bado haijachapishwa kwenye<br /><br />gazeti la serikali, kuna shehia mpya ya Karakana iliyoko Chumbuni, na hii inafanya jumla ya shehia kuwa<br /><br />40<br /><br />Zanzibar, ikijulikana zaidi kama visiwa vya marashi ya karafuu kutokana na sifa ya uzalishaji zao hilo,<br /><br />inajumuisha visiwa viwili vikubwa ambavyo ni Unguja na Pemba. Manispaa ya Zanzibar iko katikati ya<br /><br />Pwani ya Magharibi ya Kisiwa cha Unguja. Eneo hili lina ubapa kiasi, huku kukiwa na mwinuko kwa<br /><br />upande wa magharibi, na kutoka Pwani, kuna mwinuko kidogo, kuelekea mashariki.<br /><br />Kwa wastani, Pwani yenyewe iko meta 6.6 juu ya usawa wa bahari na eneo lililo lililoko chini zaidi ni<br /><br />Tomondo, ambako kuna bonde lenye kina cha kati ya meta 10 hadi 15 chini ya usawa wa bahari<br /><br />Eneo lililo juu zaidi ni tuta la Masingini, meta 100 kwa upande wa mashariki wakati kwa upande wa<br /><br />magharibi, kuna visiwa vinne ambavyo ni Chapwani, Changuu, Kibandiko na visiwa vya Bawe (tazama<br /><br />ramani 1.1):<br /><br />Zanzibar iko kwenye ukanda wa kitropiki na mvua hutegemea kwa kiasi kikubwa majira na mabadiliko<br /><br />ya pepo za Bahari ya Hindi. Masika ya Zanzibar huzalisha asilimia 40 ya mvua ya mwaka mzima na<br /><br />huanza Machi hadi Mei. Kipindi cha ukavu, lakini chenye ubaridi kiasi kiitwacho Kusi, huanzia Juni na<br /><br />kumalizika Septemba wakati Vuli yenye asilimia 20 ya mvua za mwaka mzima, huanzia Oktoba na<br /><br />kumalizika Desemba. Kipindi cha pepo zitokazo kaskazini kwenda mashariki (Kaskazi), huanza Januari<br /><br />na kumalizika Machi. mji huu hupata milimita 1,500 hadi 2,000 za mvua kwa mwaka.<br /><br />Manispaa ya Zanzibar ndio makao makuu ya visiwa hivi na ndio kitovu chake kiuchumi, kisiasa na hata<br /><br />kitamaduni. Hapa ndio makao makuu ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Huchangia kwa kiasi kikubwa<br /><br />katika suala zima la biashara na utalii, sekta zinazochangia zaidi mapato ya fedha za kigeni.<br /><br />Waweza kufika kwenye kisiwa hiki kupitia bandari au uwanja wa ndege wa kimataifa. Ni katika<br /><br />manispaa hii ya Zanzibar pia, kuna sehemu muhimu kama vile ofisi za Serikali, sehemu za ibada,<br /><br />biashara na zile za starehe na mapumziko.<br /><br />Mpangilio wa makazi mjini hapa upo katika aina tano, na umetokana na mipango na taratibu tofauti<br /><br />zilizoandaliwa (tazama ramani 1.2):<br /><br />Mji Mkongwe uko upande wa magharibi wa barabara kuu. Ukiwa ndio bandari kongwe, inayotambulika<br /><br />siku nyingi kihistoria, ina maeneo na majengo yaliyosanifiwa kwa aina yake na ni urithi wa kitamaduni<br /><br />kwa Wazanzibari na pia ni kivutio kikubwa kabisa cha watalii.<br /><br />N’gambo ni maeneo mengine makongwe, lakini ambayo hayajachorewa ramani. Yapo upande wa<br /><br />mashariki wa barabara hiyo na yaliendelezwa kati ya mwaka 1840-1923. Maeneo yenyewe ni<br /><br />Mwembetanga, Vikokotoni and Kiswandui.<br /><br />Yapo maeneo mengine ya Ng’ambo yaliyofanyiwa michoro kiasi, kulingana na mipango na taratibu za<br /><br />mwaka 1958. Maeneo haya ni pamoja na Kidongo Chekundu, Kwahani na Jang’ombe.<br /><br />Maeneo mapya ambayo bado hayajapimwa, yaliendelezwa mara baada ya kuanzishwa kwa sera za<br /><br />biashara huria. Haya ni pamoja na Chumbuni, Munduli, Darajabovu, Tomondo, Uholanzi na Kitosani.<br /><br />Yapo maeneo mapya yaliyopimwa tayari. Maeneo haya yaliendelezwa baada ya michoro iliyoandaliwa<br /><br />mwaka 1982 na maeneo yenyewe ni Mwanakwerekwe, Mombasa, Mpendae na Chukwani.<br /><br /><br />mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-79584948170731820362007-03-29T02:54:00.000-07:002007-03-29T02:55:56.467-07:00Usultani Hadi Taifa Huru<br /><br />Manispaa ya Zanzibar imegawanyika kihistoria katika maeneo mawili, nayo ni Mji Mkongwe na<br /><br />Ng’ambo. Kuibuka na kukua kwa maeneo haya tangu karne ya 19, kumekuwa katika misingi ya<br /><br />kiuchumi. Mji Mkongwe uliojengeka vema, ulikuwa kwa ajili ya matajiri na wasomi wakati viunga vya<br /><br />Ng’ambo, vikawa kwa ajili ya walalahoi.<br /><br />Mji Mkongwe ulianza kukua taratibu, awali kama makazi ya wavuvi kwenye Rasi ya Shangani katika<br /><br />karne ya 12. Ulikuwa mji wa Kiswahili hasa, baadhi ya watu wakijishughulisha na sanaa za mikono, na<br /><br />ikawa sehemu ya biashara zile ndefu zilizofanywa kwa njia ya bahari.<br /><br />Kunako karne ya 17, Malkia Fatima alipotawala Unguja ya Kati, Mji wa Zanzibar uligeuka na kuwa<br /><br />makao makuu ya falme yake. Alirithiwa na mwanawe Hasan, anayesemekana alifanya mengi katika<br /><br />ujenzi wa Mji Mkongwe. Kuingia kwa wafanyabiashara wa Kireno pamoja na wale wa Kiarabu mwaka<br /><br />1822, kulisababisha Waswahili kuhamia pande za mashariki mwa Mji Mkongwe.<br /><br />Utawala wa Wareno ulipoanza kusambaratika katika Afrika Mashariki, Waarabu wa Oman, ambao awali<br /><br />walikuja kama wafanyabiashara, walitwaa madaraka kisiwani Zanzibar. Waligeuza uchumi wa Zanzibar<br /><br />kutegemea zaidi kilimo cha mashamba makubwa, ndipo uzalishaji wa karafuu ukashamiri na kukipatia<br /><br />kisiwa umaarufu mkubwa. Japokuwa wamiliki ardhi hiyo walijenga nyumba mashambani, watu wengi<br /><br />walipendelea zaidi makasri kandokando ya bahari, karibu na hekalu la Sultani.<br /><br />Eneo ulipokuwa mji wa Zanzibar, lilikuwa jambo la umuhimu mkubwa, hasa wakati Sultani wa Oman,<br /><br />Seyyid Said alipokuja Zanzibar na akaamua kuufanya kuwa makao makuu. Iliripotiwa kwamba idadi ya<br /><br />watu kwenye mji huo ilikuwa kati ya 10,000 na 12,000.<br /><br />Ujio wa Sultani Seyyid Said, ulileta zama mpya kwani mji huo uligeuka kuwa kituo kikuu cha biashara<br /><br />katika Pwani ya Mashariki mwa Afrika. Misafara ya kibiashara ilistawi kwa kiasi kikubwa na yenye faida<br /><br />pia, ikihusisha uuzaji watumwa kutoka pwani hii. Watumwa hao walitumiwa kuzalisha bidhaa<br /><br />mbalimbali pamoja na dhahabu. Biashara ilistawi na misururu kutoka bara, ilileta pembe za ndovu,<br /><br />dhahabu na watumwa ambao walifanya kazi kwenye mashamba hayo makubwa.<br /><br />Ni mtawala huyo huyo ambaye aliweka misingi ya kuendeleza mji huu na pia, licha ya karafuu, mazao<br /><br />mengine yaliyozalishwa kwa kiasi kikubwa ni minazi. Uzalishaji wa mazao haya ya biashara, ulisaidia<br /><br />kukuza biashara, ikizingatiwa zaidi kwamba mji huu ulijaliwa kwa asili kuwa na bandari nzuri zaidi<br /><br />kisiwani. Bandari iligeuka kuwa kituo kikuu cha usambazaji na pia kutoa mwelekeo kamili wa hali ya<br /><br />biashara katika eneo hili.<br /><br />Kwa vile mazingira yalikuwa mazuri kwa ajili ya shughuli za kibiashara, watu kutoka mashambani<br /><br />walihamia mijini, wakisaka nafasi nzuri zaidi za ajira. Kwa misingi hiyo, ardhi ilihitajika kwa kiasi<br /><br />kikubwa kwa sababu za kibiashara. Zama hizi, Waarabu, Wahindi na Wapersia, walidhibiti umiliki wa<br /><br />ardhi kiasi cha kulazimisha wenyeji kununua ardhi kutoka kwa wamiliki wake kwa bei kubwa.<br /><br />Kwa vile wakati huo hapakuwepo mipango mahususi ya kulinda na kudhibiti maendeleo ya makazi<br /><br />mapya, ilifika hatua watu wakabuni makazi yasiyo na ramani kwenye eneo la Ng’ambo, jambo<br /><br />lililosababisha makazi kuwa katika hali ya chini, kukosekana huduma za kijamii na miundombinu<br /><br />muhimu.<br /><br />Mwaka 1890, Zanzibar iliwekwa chini ya uangalizi wa Uingereza, Sultani akiwa bado na madaraka<br /><br />makubwa ya kisiasa hata hivyo. Ni wakati huu ambapo, mipango mbalimbali ilianzishwa na chini ya<br /><br />mpango huu, Waarabu waliendeleza maeneo ya Kidongo Chekundu, Sebleni, Kwahani na kadhalika.<br /><br />Kabla ya uhuru, vyama kadhaa vya siasa tayari vilikuwa vikifanya kazi. Vyama vikuu vilikuwa Zanzibar<br /><br />National Party (ZNP), kilitawaliwa zaidi na wasomi ambao ni wachumi. Chama kingine kilikuwa Afro<br /><br />Shiraz (ASP), chama kilichokuwa na Waafrika wengi zaidi na kikiwa na mshikamano mkubwa wa<br /><br />makundi ya wanyonge.<br /><br />Katika uchaguzi wa mwisho kabla ya uhuru Julai mwaka 1963, ZNP kilichoshirikiana na chama kingine<br /><br />kidogo cha Pemba, kilifanikiwa kupata wingi wa kura katika baraza jipya la kutunga sheria na Desemba<br /><br />1963, Zanzibar ilikuwa huru kutoka kwa Waingereza. Mwezi mmoja baadaye, Januari 12 mwaka 1964,<br /><br />serikali mpya ya Sultani iliangushwa baada ya kufanyika mapinduzi visiwani.<br /><br />Sultani mwenyewe aliikimbia Zanzibar na ASP ikaingia madarakani na kuitawala nchi hadi mwaka 1977,<br /><br />kilipoungana na wenzao wa Tanzania Bara, TANU na kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho<br /><br />hadi leo kipo madarakani. Licha ya kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar<br /><br />imekuwa na mamlaka makubwa ya kiserikali kujitawala, isipokuwa kwa masuala ya muungano. Masuala<br /><br />hayo ya muungano ni kama vile ulinzi, sera za kigeni na mambo ya ndani. Zaidi ya hapo, Zanzibar inalo<br /><br />Bunge lake, likijulikana zaidi kama Baraza la Wawakilishi lakini pia, inawakilishwa katika Bunge la Jamhuri<br /><br />ya Muungano wa Tanzania, ikiwa na wabunge 50 huko.<br /><br />Mwaka 1995, muswada ulipitishwa na kuwa sheria iliyoanzisha mfumo wa vyama vingi vya siasa na<br /><br />katika uchaguzi wa kwanza, CCM ilishinda kama ilivyokuwa tena mwaka 2000 na uchaguzi wa tatu chini<br /><br />ya mfumo huo utafanyika mwaka 2005.<br /><br />Manispaa ya Zanzibar iko ndani ya eneo la Mjini Magharibi ambalo limegawanywa katika wilaya kuu<br /><br />mbili; Wilaya ya Mjini na Wilaya ya Magharibi, kila moja ikiwa na mkuu wa wilaya aliyeteuliwa na rais.<br /><br />Mipaka ya kiutawala kwa manispaa hii ni kama ile ya Wilaya ya Mjini. Hata hivyo, kwa mujibu wa<br /><br />michoro iliyotokana na mipango ya mwaka 1982, Mji unachukua eneo kubwa zaidi ya mipaka ya<br /><br />Manispaa na sehemu yake iko Wilaya ya Magharibi.<br /><br />Halmashauri ya Manispaa pia, huendesha shughuli zake kwenye maeneo hayo ya Wilaya ya Magharibi,<br /><br />ambayo kimsingi, yako nje ya mipaka ya awali (lakini ndani ya mipaka iliyowekwa kwa mipango ya Mji).<br /><br />Mipaka hiyo mipya bado haijaidhinishwa na Wizara ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa kuwa ndiyo<br /><br />mipaka rasmi ya manispaa.<br /><br />Hali hii ya utata wa mipaka ya zamani na mipya, inasababisha mgongano kati ya taasisi na vikundi<br /><br />nyingi. Kwa mfano, madiwani wa Wilaya ya Magharibi, hawapo kwenye Halmashauri ya Manispaa ya<br /><br />Zanzibar (ZMC), japokuwa ZMC yenyewe inaendesha shughuli zake. Kwa vile mji umekua na kupanuka<br /><br />zaidi ya manispaa, inaelekea haitachukua muda, mipaka ya manispaa yenyewe itabadilishwa. Kwa msingi<br /><br />huo, ripoti hii kwa hiyo, inafuata mipaka mipya iliyopendekezwa na Tume ya Ardhi na Mazingira<br /><br />(COLE) katika mpango ule wa mwaka 1982<br /><br />Japokuwa idadi ya kata kwenye Wilaya ya Magharibi ni 10, tatu tu ndizo ziko ndani ya mipaka hii<br /><br />mipya. Wilaya ya Mjini ina majimbo 13 wakati Wilaya ya Magharibi inazo tatu katika mipaka hiyo mipya.<br /><br />Kila jimbo huwakilishwa na mbunge na mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kwenye vyombo hivyo vya<br /><br />kutunga sheria Zanzibar na katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuna jumla ya kata 26 wilayani<br /><br />Mjini Magharibi na tatu kwenye Wilaya ya Magharibi.<br /><br />Kata hizo huwakilishwa kwenye Halmashauri ya Manispaa na madiwani wanaochaguliwa. Kwa sasa,<br /><br />madiwani kutoka Wilaya ya Mjini ndio wanawawakilisha wananchi kwenye Baraza la Manispaa ya<br /><br />Zanzibar.<br /><br />Meya huchaguliwa kutoka miongoni mwa madiwani. Kata zimegawanywa tena katika shehia na kila<br /><br />shehia ina kiongozi anayeitwa sheha. Wilaya ya Mjini ina shehia 39 wakati Wilaya ya Magharibi ina<br /><br />shehia 23, sita zikiwa ndani ya mipango mipya ya mipaka. Japokuwa bado haijachapishwa kwenye<br /><br />gazeti la serikali, kuna shehia mpya ya Karakana iliyoko Chumbuni, na hii inafanya jumla ya shehia kuwa<br /><br />40<br /><br />Zanzibar, ikijulikana zaidi kama visiwa vya marashi ya karafuu kutokana na sifa ya uzalishaji zao hilo,<br /><br />inajumuisha visiwa viwili vikubwa ambavyo ni Unguja na Pemba. Manispaa ya Zanzibar iko katikati ya<br /><br />Pwani ya Magharibi ya Kisiwa cha Unguja. Eneo hili lina ubapa kiasi, huku kukiwa na mwinuko kwa<br /><br />upande wa magharibi, na kutoka Pwani, kuna mwinuko kidogo, kuelekea mashariki.<br /><br />Kwa wastani, Pwani yenyewe iko meta 6.6 juu ya usawa wa bahari na eneo lililo lililoko chini zaidi ni<br /><br />Tomondo, ambako kuna bonde lenye kina cha kati ya meta 10 hadi 15 chini ya usawa wa bahari<br /><br />Eneo lililo juu zaidi ni tuta la Masingini, meta 100 kwa upande wa mashariki wakati kwa upande wa<br /><br />magharibi, kuna visiwa vinne ambavyo ni Chapwani, Changuu, Kibandiko na visiwa vya Bawe (tazama<br /><br />ramani 1.1):<br /><br />Zanzibar iko kwenye ukanda wa kitropiki na mvua hutegemea kwa kiasi kikubwa majira na mabadiliko<br /><br />ya pepo za Bahari ya Hindi. Masika ya Zanzibar huzalisha asilimia 40 ya mvua ya mwaka mzima na<br /><br />huanza Machi hadi Mei. Kipindi cha ukavu, lakini chenye ubaridi kiasi kiitwacho Kusi, huanzia Juni na<br /><br />kumalizika Septemba wakati Vuli yenye asilimia 20 ya mvua za mwaka mzima, huanzia Oktoba na<br /><br />kumalizika Desemba. Kipindi cha pepo zitokazo kaskazini kwenda mashariki (Kaskazi), huanza Januari<br /><br />na kumalizika Machi. mji huu hupata milimita 1,500 hadi 2,000 za mvua kwa mwaka.<br /><br />Manispaa ya Zanzibar ndio makao makuu ya visiwa hivi na ndio kitovu chake kiuchumi, kisiasa na hata<br /><br />kitamaduni. Hapa ndio makao makuu ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Huchangia kwa kiasi kikubwa<br /><br />katika suala zima la biashara na utalii, sekta zinazochangia zaidi mapato ya fedha za kigeni.<br /><br />Waweza kufika kwenye kisiwa hiki kupitia bandari au uwanja wa ndege wa kimataifa. Ni katika<br /><br />manispaa hii ya Zanzibar pia, kuna sehemu muhimu kama vile ofisi za Serikali, sehemu za ibada,<br /><br />biashara na zile za starehe na mapumziko.<br /><br />Mpangilio wa makazi mjini hapa upo katika aina tano, na umetokana na mipango na taratibu tofauti<br /><br />zilizoandaliwa (tazama ramani 1.2):<br /><br />Mji Mkongwe uko upande wa magharibi wa barabara kuu. Ukiwa ndio bandari kongwe, inayotambulika<br /><br />siku nyingi kihistoria, ina maeneo na majengo yaliyosanifiwa kwa aina yake na ni urithi wa kitamaduni<br /><br />kwa Wazanzibari na pia ni kivutio kikubwa kabisa cha watalii.<br /><br />N’gambo ni maeneo mengine makongwe, lakini ambayo hayajachorewa ramani. Yapo upande wa<br /><br />mashariki wa barabara hiyo na yaliendelezwa kati ya mwaka 1840-1923. Maeneo yenyewe ni<br /><br />Mwembetanga, Vikokotoni and Kiswandui.<br /><br />Yapo maeneo mengine ya Ng’ambo yaliyofanyiwa michoro kiasi, kulingana na mipango na taratibu za<br /><br />mwaka 1958. Maeneo haya ni pamoja na Kidongo Chekundu, Kwahani na Jang’ombe.<br /><br />Maeneo mapya ambayo bado hayajapimwa, yaliendelezwa mara baada ya kuanzishwa kwa sera za<br /><br />biashara huria. Haya ni pamoja na Chumbuni, Munduli, Darajabovu, Tomondo, Uholanzi na Kitosani.<br /><br />Yapo maeneo mapya yaliyopimwa tayari. Maeneo haya yaliendelezwa baada ya michoro iliyoandaliwa<br /><br />mwaka 1982 na maeneo yenyewe ni Mwanakwerekwe, Mombasa, Mpendae na Chukwani.<br /><br /><br />mwishoAisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-22232969360772991602007-03-18T04:37:00.000-07:002007-03-18T04:39:07.835-07:00kwanini wanaume hufika kileleni mapema?Na Aisha Mbaga<br /><br />Kwanini wanaume hufika kileleni mapema<br /><br />Hiyo ni kutokana na kushindwa kujidhibiti wakati wa mechi hadi pale wote wawili mtakapokuwa mtakaribia kufunga goli muweze kufunga pamoja.<br /><br />Kufika kileleni mapema ni tatizo linalowakabili wanaume wengi wakati wa mapenzi. Mara nyingi tatizo hili hutokea katika siku ya kwanza kabisa mwanaume akutanapo na mwanamke ampendaye au anayeanzisha uhusiano nae kwa mara ya kwnza kukutana ni jambo la kawaida kwa mwanaume kushindwa kujimudu na kujikuta kafunga goli wakati mwenzake ndo kwanza anawasha moto.<br /><br />Mwanaume anapomsotea mwanamke kwa muda mrefu, siku akimpata basi ni lazima mwanaume huyo kujikuta anashindwa kuucheza mchezo kiufundi na kujikuta kapanda mnazi na kuzdondosha zake kabala mwenzi wake hajafika popote.<br /><br />Hata hivyo kua katika hali hii si ugonjwa bali ni hali ya kawaida tu ingawaje humfanya mmoja wenu kutofurahia na kujikuta akiwa na hamu ya kuendelea huku mwingine kachoka.pia kibaiolojia, tatizo hili linasababishwa na ukosefu wa uwiano wa “Homon” ikiwa homona zenu hazija zoeana, mwanaume anaweza kuona kuwa mwanamke hana ladha ile anayoitaka.<br /><br />Sababu hiyo inaweza kumsababisha mwanaume kuvuta hisia kwa kumkimbuka mwanamke ambaye humfikisha na kumpa ladha anayoitaka ili aweze kukamilisha tendon a mwanake aliyenaye ka wakati huo hivyo anaweza akajikuta akilitaja jina la mwanamke mwingine wakati yuko na mwanamke mwingine.<br /><br />Kisaikolojia hali ya kufika kileleni mapema bila mpangilio inasababisha na kushindwa kujiamini kwa mwanaume. Hapa ni kwa yule mwanaume aliyemsotea mwanamke kiasi cha kufikia hatua ya kukaribia kukata tama na baadae kujikuta kafanikiwa.<br /><br />Mwanaume huyo huwa na kimuhemuhe cha kumpanda mwanamke huyo hivyo kujikuta kuwa amuonapo tu mrembo wake yeye anakuwa hahitaji tena maandalizi na ukimchekeweshea anaharibu mambo kabla ya kuanza kulili tunda lenyewe.<br /><br />Kutokana na kutojiamini kwake, mwanuame huyo atakuwa akiwaza kama ni kweli ama ni ndoto kuwa na kimwana kama huyo aliye masotea kwa muda mrefuna sasa amefanikiwa kumuweka katika mikono yake, lazima mwanaume huyu atachetuka avuliwapo nguo na mwanadada huyu.<br /><br />Kwa kawaida wanaume wengi hupenda wafanye mapenzi kwa dakika nyingi zaidi ili mwawa firahishe wapenzi wao lakini bila ya kutarajia wanajikuta wakiwa wamezidiwa nguvu na vimwana wao na hiyo ni kutokana na kuwa haijalishi kuwa ni muda gani maalumu wa mwanaume anatakiwa awe anafanya mapenzi kabla ya kufika kileleni.<br /><br />Hebu tujiulize kwamba kuna ambaye anaweza kujizuia kufika kileleni mapema? Jibu ni kwamba unaweza ila cha msingi ni kuwa mtulivu na kuondfokana na wasiwasi, yaani unapaswa kujiamini kuwa unawza na umeshinda kuwa na huyo.<br /><br />Usifanye mapenzi kwa kukomoa na wala usipanie sana kuwa lazima nikikutana na e niingie, jiamini kuwa ni wako na muda wote uko naye na unaweza kuchezanae upendavyo kwa kutumia muda wako.<br /><br />Nimuhimu kujitambua kuwa utafika kileleni kwa wakati gani hivyo unaweza kujizuiakatika hatua hii muhimu kwa kujifunza na kuzoea.<br /><br />Basi mpenzi msomaji wa safu hii napenda kukuaga kwa leo ila nakusihi tujumuike soto katika safu hii toleo lijalo. Kwa maswali au maoni wasiliana nami kwa barua pepe: <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a> au simu namba 0755-690690.<br /><br />Mwisho.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-59040286150929702692007-03-18T04:01:00.001-07:002007-03-18T04:01:58.837-07:00Kwanini wanaume husaliti penzikwanini wanaume husaliti penzi?<br /><br />Na Aisha Mbaga<br /><br />Mpenzi Msomaji wa safu hii, nakukaribisha tena tujumuike katika<br />Chumba cha Mahaba n ipate kukupa dondoo mbali mbvali juu ya<br />kuimarisha mepenzi na kujitambua zaidi juu ya swala zima la<br />mahaba.<br /><br />Wiki iliyopita tulizungumzia juu ya matayarisho ya chumba cha<br />mahaba nikijumuisha na mbambo muhimu wakati wa<br />kujimwayamwaya na mpenzio, pia tulizungumzia juu ya matayarisho ya kitanda na jinsi ya usafi umalizapo mechi yako.<br /><br />Leo mpenzi msomaja wa Tanzania Daima ndani ya Chumba cha<br />Mahaba tunazungumzia ni kwanini wanaume wengi hupenda kutoka nje ya ndoa zao ama kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.<br /><br />Haimananishi kuwa mwanaume anapotoka nje ya mwenzi wake<br />amemchoka ama hamtaki, kinachotokea ni kwamba mwanaume<br />huvutwa na hali halisi ya maumbile ya mwanamke na kila wakati<br />hupenda kutafuta ladha fulani.<br /><br />Kujua kuwa mwanaume huyo anamheshimu mpenzi wake wa<br />kudumu, atakuwa anafanya mapenzi hayo ya wizi kwa siri ili mpenzi wake ama mkewe asitambuwe kuwe anaibiwa.<br /><br />Maranyingi wanawake huwa hawapendi kuwaona wenzi wao wakiwa na uhusiano wa mapenzi na mwanamke mwingine zaidi yake hivyo huwa na wivu mkubwa juu ya mpenziwake kufikia hatua ya kuwekeana uhasama na mwanamke atakayemgundua kuwa anamwibia penzi lake.<br /><br />Ugomvi mwingi wa wanawake unakuja pale ambapo wanajikuta<br />wakishea mwanaume mmoja na kwa wkati mmoja huku kila mmoja akiwa na tumaini kuwa yuko pekeyake na mwanaume huyo kumtimizia kila mmoja haki yake kwa muda wake.<br /><br />wanawake hao watakapogunguana, ajabu wanawekeana uhasama wao kwa wao bila kujua kuwa kati yao hakuna mwenye kosa kwani kila mmoja kwatakwa kwa muda wake na wakumlaumu ni yule mwanaume ndiye wangepaswa kukkaba awaeleze kinagaubaga.<br /><br /><br />Haimaanishi kwamba wanume ni malaya sana kuliko wanawake ndio maana hawatosheki matamanio yao, lahasha! hapa tunayazungumzia maumbile ya mwanaume kutokana<br />na kuvutika kihisia kwa mwanamke yeyote amwonaye kuwa na mvuto kwake.<br /><br />Wakati mwingine wanawake tumekuwa kivutio kwa wanaume na<br />kuwaweka katika wakati mgumu huku tukielewa wazi kuwa<br />tunawatega. pamoja na kuwa tunakwenda na wakati, tunapaswa<br />kujua kuwa mwanamke hata avae juba, mwanaume akishamtamani lazima akidhi haja ya matamanio yake hata kama hatafanikiwa kwa mwanamke huyo, basi atatafuta mwanamke anayeendana na huyo.<br /><br />hayo ndiyo maumbile ya mwanaume hivyo kwa mwanamke mwenye wivu unaweza ukajidhani labda humvutii mpenzi wako ama hupendezu kumbe wewe ni mzuri na unawavutia wanaume wengi kwani hakuna mwanake asiyekuwa na mvuto mbele ya mwanaume.<br /><br />Ili kujua kuwa mwanaume anakupenda ila hufanya kosa kutokana<br />na maumbile yake, ni pale utakapomfumania akikusaliti, mwingine hukosa raha ama akajikuta akilia kujutia alichokifanya huku akiwa na hofu ya kuachwa.<br /><br />Mwanaume mwingine huwa anakosa cha kuongea na<br />kupata kigugumizi cha ghafla ama kujikuta akikudanganya juu ya tukio hilo kuwa hakutegemea kama ingetokea, “Hakkujua kama angefanya”<br />kwa wanaume wengine hukujia juu ili kukupunguza jazba ama kukutisha ili usimuulize chochote na kisha baadae hukuomba msamaha. hizi zote ni baadhi ya tabia na maumbile ya wanaume.<br /><br />Wapo ambao wanawatetea wanawake wanaofumaniwa nao kwa ajili ya kuwalinda isi wasidhuriwe na mwanamke muhusika kwani yawezekana lolote likatokea kati yao kisha mwanaume yule akaja kukuomba radhi na kukusihi kuwa hatorudia kosa hiyo imetokea kwa bahati mbaya akashindwa kujizuia.<br />Jinsi ya kujikinga na na kujaribu kumfanya mpenzi wako asiwe na<br />tamaa, mwache awe huru na mjengee mazingira ya kuona wivu na<br />kuhisi kuwa anaibiwa. kwa kufanya hiyo unaweza ukamweka<br />mwanaume wako katika mtihani na kumpa kazi kubwa ya<br />kukufuatilia hatua hadi hatua na kujikuta akikosa muda wa<br />kuwatizama wanawake wengine hivyo unakuwa umemwondolea tabia ya kuwatamani wanawake ovyo na kumpa kazi ya kukuchunga.<br /><br />Haimaanishi kuwa mkawafanyae waume zenu hivyo, kwa kuwakomoa, jaribuni kuwafanyia ili kutengeneza penzi lenu. wapo ambao hawajali ukimwacha huru anashukuru na anakuwa naye anakuacha huru japo atakuwa anaumia kuwa huenda anaibiwa, atauficha wivu wake juu yako.<br /><br />Hakuna mwanaume anayependa kuona kuwa anashea mwanamke na mwanaume mwenzake, huwa inawaweka katika wakati mgumu na niadhabu kubwa inayowaumiza japo wanakuwa jasiri tofauti na wanawake wanaoishia kulia na kujikondesha.<br /><br />Hii ni tabia ya baadhi ya wanaume wengi kwani wivu wao upo<br />ndani na unawaumiza ndani kwa ndani lakini hawapendi<br />kuwaonyesha wanawake kuwa wanawivu juu yao.<br /><br />mwanaume huwa atakuuliza tu kuwa yule ni nani na kwanini umesimama naye ama umekaa naye sehemu ya stare au faragha kama hiyo na hapo hapo atataka mchezo ili kuhakikisha kuwa hakuna aliyepita kwenye njia yake.<br /><br />Nataka nikwambie jambo moja wewe mwanake mwenzangu ambaye unadhani kuwa labda mpenzio anakuona humzuri ndio maana anatoka nje na kukuacha ndani pekeyako.<br /><br />kwanza usisuburikusifiwa kuwa wewe ni mzuri, cheo hicho jipe mwenyewe na anayekuona kuwa wewe ni mbaya usimkataze kufikiri hovyo kwani huo ni matazamo wa akili yake unavyodhani lakini amini wewe umzuri kuliko mtu mwingine yeyeto.<br /><br />Pia usipende kumsema mwanamke mwenzio kuwa si mzuri, Mungu hajaumba binadamu mvbaya ila tabia ndio zinatofautiana kutokana na maumbile ya nafsi ya mtu mwenyewe upeo wa akili zetu.<br /><br />Mwanaume wako anapotoka nje na ukajua, usimwambie chochote<br />zaidi ya kumsifia kuwa anachombo kipaya na kizuri kisha mpe<br />hongera na atakapo mambo fulani mpe, utakapomfanyia hivyo<br />utamnyima raha kwa kujutia alichokifanya na kuwaza kwanini<br />amekusaliti.<br /><br />Japo kuwa ni maumbikle yamempelekea kufanya hivyo, atajilaumu na wakati mwingine atakuwa anataka kukufanyia jambio ili usahau ama umsamehe zaidi kosa lake la kusaliti penzi.<br />wakati mwingine wanawake wanapowafumania waume zao huanza kuropoka na kuwatukana, mmm! hatuendi hivyo dada yangu,<br />unapomfumania mwanaume wako msifie kwa urijali wake na kisha nyamaza kimya bila kumuuliza chochote.<br />kama ilivyo kawaida ukimya ni adhabu kwa wapendanao, unaponyamaza atataka kujua kuwa unafikiria nini kichwani kwako, atakosa raha kwa kujua kuwa huenda ukalipiza kisasi, atawaza<br />mengi juu ya ukimya wako na ukamfanyia hivyo kwa wiki moja, ukaenda kumpima uzito atakuwa amepungua.<br />yapo mambo mengine yanayopelekea mwanaume kusaliti penzi lake<br />kutokana na jinsi mpenzi wake anavyojiweka tofauti na kuwa maumbile ya mwanaume ni yamatamanio aonapo maumbile ya mwanamke.<br /><br />Uchafu wa mwanamke nao unasababisha mwanaume kukimbilia anapoona kuwa panausafi na pengine kujikita huko kabisa japo wanadai kuwa gari huwa lazima ipate spea tairi, waweza ukajikuta<br />kuwa, mazingira uliyonayo yanakufanya wewe ndiye spea kuliko spea yenyewe.<br /><br />Nataka kuwashauri wanawake wenzangu kuwa mwanamke mazingira.<br />Kujipakaa mafuta usoni ukang'aa lakini kule Ikulu iliyokufanya wewe ukaitwa binti na kuonekana mrembo huifanyii usafi kiasi cha kumkera kila anayeingia, jua utakuwa mtanashati wa uso na mavazi tu lakini kwimgineko mh! Hapafai.<br /><br />Tambua kuwa hiyo Ikulu yako ndiyo inawasababisha hao wanaume mpaka wanapigana, yote ni kwasababu tu inamvuto na ndio maana waweza kumuona mwanaume anamng’ang’ania mwanamke ambaye hawaendani, eidha mwanaume ni mzuri sana kuliko mwanamke lakini hiyo si tija cha msingi ni umaridadi wa Ikuli.<br /><br />Wahenga walisema si vyote ving'aavyo ni dhahabu ati, pia Uzuri wa mkakasi ndani kipande chamti na mimi nakwambia kuwa, kaa na marashi nawe unukie japo hujajipulizia lakini ukaapo na wenye<br />marashi nawe waweza onekana ni miongoni wao kumbe la.<br /><br />Napenda wanawake tupunguze wivu na kwani unasababisha kujengeana majungi na wakati mwingine kudhiriana hata kwa kuuwana kisa ni wanaume ambao hata ufanye nini hakuna mwanaume wa pekeyako. Kasema hadija kopa kuwa Kamaunaweza<br />mtie kamba mumeo lakini ukitahamaki kachimba chini ninaye.<br /><br />Basi mpenzi msomaji wa safu hii nisikumalizie uhondo kwa siku ya leo, nakushukuru kwa<br />kuungana nami. basi mpenzi msomaji tukutane wiki ijayo katika chumba hiki hiki cha mahaba na tutakuwa tunazungumzia ni kwanini wanaume huwahi kumaliza tendo la ndoa kabla ya wanawake.<br /><br />Kwa ushauri au maoni wasiliana nami simu ya kiganjani namba 0755-690690 au<br />nitumie ujumbe kupitia baruapepe yangu <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a>.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-75666139986982435372007-03-16T03:11:00.001-07:002007-03-16T03:13:20.759-07:00mapenzi ni nguzo ya kujenga familia<br /><br />Na Aisha Mbaga<br /><br />Mengi yameongelewa na yatazidi kuongelewa kuhusiana na hali halisi katika uwanja wa mapenzi.<br /><br />Mimi nazungumzia hali hiyo lakini katika upande wa kuanzisha , kuboresha na kuyalinda mapenzi ya dhati.<br /><br />Nimekusudia kukutandikia uwamja huu kwa sababu mapenzi ni kitu kisichokwepeka.<br /><br />Hakuna binadamu anayeweza kukyakwepa mapenzi, kukwepa kupenda ama kupendwa kutokana na kuwa hayo ni maumbile.<br /><br />Kwa kawaida mtu umpendae kuwa hukosi hamu ya kuonana naye kama ilivyo kwa mama na mwana ama mwana na mama ila katika mapenzi ya msichana na mvulana mambo hubadilika na kuwa ya ndani zaid.<br /><br />Ukiwa na hamu ha hali ya juu kwa mpenzio basi upo katika kilele cha mapenzi na hutakiwi kushuka kwani ukiona unashuka kiwango cha kumuona mpenzio basi ujue kunahatari ya kusambaratika kwa mapenzu yenu.<br /><br />Napenda kuanzia kukiandaa chumba cha mapenzi, ama uwanja wa mapenzi. Si lazima iwe kitandani tu, waweza badili uwanja kwa kuhamia bafuni ama kochini nap engine gaeini.<br /><br />Kwanza kisafishe chumba chako vizuri kwa kifita vumbi kila kona .<br /><br />Hakikisha kuwa unakipamba chumba chako kwa mauwa na kadi kama unazo.<br /><br />Kifukize chumba chako udi ili kukifanya kinykie vizuri ama kipulizie marashi ya sluud kama unauwezo nayo, kama huna waweza tumia hata air freshna.<br /><br />Kinachotakiwa ni kuiandaa sehemu yenyewe. Kama kitandani, tandika kitanda chako vizuri kwa shuka lemuye mauwa ya kuvutia, kama ni jeupe na halina mauwa, waweza kuchukua mauwa ya asumini ukayamwaga kitandani bna kuyatandaza vizuri. Ukikosa asumini waweza tumia mauwa ridi,. Mauwa haya huwa yanaharufu nzuri.<br /><br />Waweza yatandaza nyumba nzima kama waweza ama chumba kizima kiwe kinanukia asumini,<br /><br />Baada ya hapo hakikisha kuwa unausafisha mwili wako vizuri na kuuweka safi kwa ajili ya kuingia uwanjani kucheza mechi ya mahaba.<br /><br />Fahamu kuwa kunamaks ambazo unaweza kuzipata ukiwa uwanjani ama ukazikosa hivyo ili kujiweka katika kiwango cha juu cha ufundi wa kufunga magoli ya mapenzi, ni lazima uwe na juhudi, usichoke na uwe makini katika mchezo ili uhakikishe mnatoka sare kwa kufunga goli.<br /><br />Kwa kufanya hivyo utakuwa umefaulu mechi yako na utajiweka katika nafasi ya juu kiasi cha kumfanya mpenzio kukukumbuka kila awapo.<br /><br />Sasa nakupeleka katika kuuandaa mwili wako.<br /><br />Nenda bafuni uoge vizuri na ujisafishe sehemu zako zote nyeti za mili vizuri kwa kuuweka mili wako safi ili mpenzio aweze kuutembelea apendavyo.<br /><br />Jitie manukato laini. Jifukize ikili yako udi na hakikisha kuwa wakati wa kujifukiza unamimina marashi ya aluud ili kuiruhusu harufu nzuri kupenya sehemu zote.<br /><br />Fukiza nyele zako na nguo zako utakazovaa kabla ya kuingia uwanjani.<br /><br />Andaa kitezo chako na moto kisha kiweke udi na uendelee kupendezesha chumba chako.<br /><br />Andaa kitambaa cha pamba, mji ya mojo kwenye chupa na kibeseni kwa ajili ya kujisafisha mara baada ya mechi wewe na mpenzio.<br /><br />Aingiapo mpenzio tia marashi ya aluud kwenye kitezo kisha mkaribishe uwanjani na muanze na mazoezi kabla ya mechi kali.<br /><br />Wakati mnaendelea na mechi udi na marashi ya aluud yanapenya kwenye miili yenu taratibu na kuburudisha.<br /><br />Kumbuka kutumia kitambaa chako laini kujisafishia taka zote baada ya mechi kali kisha nendeni wote bafuni mkaoge. Ikiwezekana endeleeni kujipa raha humohumo bafuni.<br /><br />Ka leo tuishie hapo ila nakusihi usikose kujiunga nami toleo lijalo. Kwa maoni ushauri, wasiliana nami kwa barua pepe. <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a> au simu ya kiganjani 0755690690.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-16578554220014264212007-03-16T03:11:00.000-07:002007-03-16T03:12:39.118-07:00mapenzi ni nguzo ya kujenga familia<br /><br />Na Aisha Mbaga<br /><br />Mengi yameongelewa na yatazidi kuongelewa kuhusiana na hali halisi katika uwanja wa mapenzi.<br /><br />Mimi nazungumzia hali hiyo lakini katika upande wa kuanzisha , kuboresha na kuyalinda mapenzi ya dhati.<br /><br />Nimekusudia kukutandikia uwamja huu kwa sababu mapenzi ni kitu kisichokwepeka.<br /><br />Hakuna binadamu anayeweza kukyakwepa mapenzi, kukwepa kupenda ama kupendwa kutokana na kuwa hayo ni maumbile.<br /><br />Kwa kawaida mtu umpendae kuwa hukosi hamu ya kuonana naye kama ilivyo kwa mama na mwana ama mwana na mama ila katika mapenzi ya msichana na mvulana mambo hubadilika na kuwa ya ndani zaid.<br /><br />Ukiwa na hamu ha hali ya juu kwa mpenzio basi upo katika kilele cha mapenzi na hutakiwi kushuka kwani ukiona unashuka kiwango cha kumuona mpenzio basi ujue kunahatari ya kusambaratika kwa mapenzu yenu.<br /><br />Napenda kuanzia kukiandaa chumba cha mapenzi, ama uwanja wa mapenzi. Si lazima iwe kitandani tu, waweza badili uwanja kwa kuhamia bafuni ama kochini nap engine gaeini.<br /><br />Kwanza kisafishe chumba chako vizuri kwa kifita vumbi kila kona .<br /><br />Hakikisha kuwa unakipamba chumba chako kwa mauwa na kadi kama unazo.<br /><br />Kifukize chumba chako udi ili kukifanya kinykie vizuri ama kipulizie marashi ya sluud kama unauwezo nayo, kama huna waweza tumia hata air freshna.<br /><br />Kinachotakiwa ni kuiandaa sehemu yenyewe. Kama kitandani, tandika kitanda chako vizuri kwa shuka lemuye mauwa ya kuvutia, kama ni jeupe na halina mauwa, waweza kuchukua mauwa ya asumini ukayamwaga kitandani bna kuyatandaza vizuri. Ukikosa asumini waweza tumia mauwa ridi,. Mauwa haya huwa yanaharufu nzuri.<br /><br />Waweza yatandaza nyumba nzima kama waweza ama chumba kizima kiwe kinanukia asumini,<br /><br />Baada ya hapo hakikisha kuwa unausafisha mwili wako vizuri na kuuweka safi kwa ajili ya kuingia uwanjani kucheza mechi ya mahaba.<br /><br />Fahamu kuwa kunamaks ambazo unaweza kuzipata ukiwa uwanjani ama ukazikosa hivyo ili kujiweka katika kiwango cha juu cha ufundi wa kufunga magoli ya mapenzi, ni lazima uwe na juhudi, usichoke na uwe makini katika mchezo ili uhakikishe mnatoka sare kwa kufunga goli.<br /><br />Kwa kufanya hivyo utakuwa umefaulu mechi yako na utajiweka katika nafasi ya juu kiasi cha kumfanya mpenzio kukukumbuka kila awapo.<br /><br />Sasa nakupeleka katika kuuandaa mwili wako.<br /><br />Nenda bafuni uoge vizuri na ujisafishe sehemu zako zote nyeti za mili vizuri kwa kuuweka mili wako safi ili mpenzio aweze kuutembelea apendavyo.<br /><br />Jitie manukato laini. Jifukize ikili yako udi na hakikisha kuwa wakati wa kujifukiza unamimina marashi ya aluud ili kuiruhusu harufu nzuri kupenya sehemu zote.<br /><br />Fukiza nyele zako na nguo zako utakazovaa kabla ya kuingia uwanjani.<br /><br />Andaa kitezo chako na moto kisha kiweke udi na uendelee kupendezesha chumba chako.<br /><br />Andaa kitambaa cha pamba, mji ya mojo kwenye chupa na kibeseni kwa ajili ya kujisafisha mara baada ya mechi wewe na mpenzio.<br /><br />Aingiapo mpenzio tia marashi ya aluud kwenye kitezo kisha mkaribishe uwanjani na muanze na mazoezi kabla ya mechi kali.<br /><br />Wakati mnaendelea na mechi udi na marashi ya aluud yanapenya kwenye miili yenu taratibu na kuburudisha. <br /><br />Kumbuka kutumia kitambaa chako laini kujisafishia taka zote baada ya mechi kali kisha nendeni wote bafuni mkaoge. Ikiwezekana endeleeni kujipa raha humohumo bafuni.<br /><br />Ka leo tuishie hapo ila nakusihi usikose kujiunga nami toleo lijalo. Kwa maoni ushauri, wasiliana nami kwa barua pepe. <a href="mailto:aishamudysaan@yahoo.com">aishamudysaan@yahoo.com</a> au simu ya kiganjani 0755690690.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-31558506590411512192007-03-16T01:58:00.000-07:002007-03-16T02:02:32.592-07:00UHUMI WA TANZANIA UTABOREKA TU<br /><br /><br /><br />Na Aisha Mbaga<br />RAIS wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Kikwete, amesema serikali ya awamu ya nne itaendelea kuamini kuwa, sekta binafsi ni moyo wa uchumi na maendeleo ya Watanzania na Taifa kwa ujumla.<br />Kikwete alisema kuwa, Serikali, imeweka mazingira mazuri katika kuhakikisha kuwa, fursa zote zilizopo kwenye uwekezaji, zinatumika kikamilifu kwa manufaa ya Taifa.<br />Hali kadhalika, alieleza kwamba, amewataka wawekezaji wa nje na ndani, kujenga imani na serikali yake ambayo alisema itafanya kazi na wadau hao kwa faida ya pande zote.<br />Katika Mkutano wa sita ulioandaliwa na Baraza la Taifa la Biashara(TNBC) uliofanyika mjini arusha, aliwataka wawekezaji kuwa na imani na Tanzania kwani ni nchi ambayo inaamani na inayopiga hatua kimaendeleo.<br />Lengo la mkutano huo ilikuwa n i kujadili masuala muhimu ya kiuchumi yatakayoiwezesha Tanzania kuondokana na mfumo wa uchumi hodhi.<br />Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa TNBC, alisema kwa kuthamini mchango unaotolewa na wawekezaji wa ndani na nje, serikali yake imekuwa ikifanya mabadiliko katika baadhi ya sheria za biashara, zilizoonekana kukwamisha mikakati ya kuwezesha wawekezaji wa nje kuja nchini kuwekeza, hususan wa sekta za viwanda, madini na kilimo.<br />Alitaja baadhi ya sheria ambazo zimekuwa changamoto kwa wawekezaji wa ndani na nje zilizofanyiwa marekebisho kuwa ni ya ardhi na sheria ya kazi ambayo wawekezaji wengi ama waajiri wengi, wamekuwa wakidai kwamba, zinawakandamiza mno waajiri na kuwapendelea zaidi waajiriwa.<br />Alisema Kikwete Kuwa, "Kwa kuthamini mchango wa wawekezaji ambao wamekuwa wakisaidia maendeleo ya taifa, hususani katika suala la mapato ya serikali kutokana na biashara wanazoziendesha, serikali imekuwa ikijiendesha kutokana na kodi zinazotozwa toka kwenye sekta binafsi",.<br />Alisema, tayari Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeaanza kuangalia sheria hizo.<br />Alitaja hatua nyingine ambayo serikali ipo kwenye mchakato wa kuifanyia marekebisho kuwa ni ya vibali na leseni za biashara hapa nchini, hususan kwa wawekezaji wa nje.<br />Alisema kupitia mkutano uliopita wa Baraza la Taifa la Wafanyabiashara, wawekezaji wa nje walieleza kwamba changamoto kubwa wanayokumbana nayo ni vibali vya kufanyia biashara kuwa vya bei ghali ikiwa ni pamoja na urasimu wa kuvipata.<br />Rais Kikwete alisema, tayari ameziagiza mamlaka husika, kuangalia upya suala hilo ambapo alieleza kwamba, kiwango cha kulipia vibali vya kufanya biashara hapa nchini kitapunguzwa kuliko ilivyokuwa hapo awali.<br />Aidha alisema, "azma ya serikali kwa kushirikiana na baraza hilo ni kuhakikisha sekta binafsi zinapewa nafasi ya kuongoza ujenzi wa uchumi wa nchi, huku serikali ikiwa na kazi moja ya kujenga mazingira bora zaidi ya ufanyaji biashara".<br />"Natumaini kupitia mkutano huu, kasi dhidi ya ukuaji wa uchumi wa Taifa letu itaongezeka maradufu kupitia sekta binafsi zitakazowekeza hapa nchini, hasa kwa upande wa elimu, kilimo, utalii, viwanda, miundombinu, mawasiliano na sekta ya madini", alisema Rais Kikwete.<br />Hata hivyo, aliwataka wawekezaji kushirikiana na serikali katika kuboresha miundombinu, hususan ya barabara, ambapo alisema wawekezaji nao ni muhimu wakachangia ujenzi wa barabara badala ya suala hilo kuachiwa serikali pekee.<br />Kutokana na mabadiliko ya utandawazi pamoja na kuongezeka kwa gharama za kuendeshea sekta ya utalii, Rais alisema kuwa serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii ipo kwenye mpango wa kuongeza kodi ya watalii wanaoingia nchini kila mwaka kwa ajili ya kutembelea mbuga za wanyama.<br />Alisema gharama zimekuwa ni ghali mno kuliko awali hasa suala la kuboresha miundombinu ya barabara katika maeneo ya hifadhi za Taifa pamoja na barabara zinazokwenda kwenye hifadhi hizo.<br />"Serikali iko kwenye mchakato wa kuongeza kodi za watalii wanaoingia, ili kuboresha huduma ya utalii na kuongeza pato la Taifa", alisema JK.<br />Kuhusu suala la sekta ya kilimo, Rais Kikwete alisema kwa kuthamini kilimo ambacho ndicho uti wa mgongo wa taifa, kwa sasa serikali inaandaa mpango ya kuboresha sekta hiyo kwa njia ya kilimo cha umwagiliaji na utumiaji wa mbolea ili kuleta tija zaidi.<br />"Katika sekta ya kilimo, bado tunazidi kujitangaza ili kuzidi kuwavutia wawezekaji, kwani sekta hii ndio kitega uchumi cha Watanzania wengi na tegemeo kubwa kwa taifa letu", alisema Kikwete.<br />Alisema, kwa sasa kilimo cha umwagiliaji ndicho kinachopewa kipaumbele, ambapo aliwataka wawekezaji wa sekta ya kilimo kuja nchini kwa ajili ya kuwekeza hasa ikizingatiwa kwamba Tanzania ina vyanzo vingi vya maji kama mabwawa, mito, mifereji ambayo inafaa kwa kilimo cha umwagiliaji.<br />mwisho.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-57578296315606462032007-03-16T00:33:00.000-07:002007-03-16T01:04:13.429-07:00WANANCHI NA UCHUMI WA tANZANIA<br /><br /><br />Mara nyingi hotuba za viongozi wakuu wa serikali za awamu ya tatu na ya nne wamekuwa wakizungumzia juu ya kuimarika kwa uchumi baada ya marekebisho mbalimbali ya sera za uchumi. Benki Kuu ya Tanzania huwa inazungumzia mambo ya mfumuko ya bei, viwango vya ubadilishaji wa fedha za kigeni na riba za mabenki na taasisi za fedha ili kuelewa tumetoka wapi katika safari ya kuimarisha uchumi. Ni muhimu kuangalia hali ya uchumi wa miaka kumi na tano iliyopita katika miaka ya mwazo ya miaka ya 1990. Kati ya mwaka 1990 hadi 1995 mfumuko wa bei yaani ongezeko la bidhaa zote za mlaji zilikuwa zinaaongezeka kwa kati ya asilimia 30 hadi asilimia 36 kila mwaka. Kwa hali hiyo fedha ilipoteza thamani kwa sababu uwezo wake wa kununua bidhaa ulipunguka sana. Wakati huo vile vile ilibidi riba zinazotozwa na kutolewa na mabenki kwa amana ilibidi ziongezeke kwa sababu ya kuteremka kwa bei. Benki ingepata hasara kama ingekopesha fedha kwa riba ya asilimia kumi wakati mfumuko wa bei ulikuwa asilimia thelathini vile vile wakaweka fedha zao katika mabenki ilibidi walipwe riba za amana za juu ingawa hii haikuwezekana kwa sababu benki zilikuwa mbili NBC na CRDB zilikuwa na ukiritimba wa shughuli za benki na wawekezaji amana hawakuwa na uchaguzi wa wapi waweke amana zao ili wapate riba ya juu zaidi . Serikali ya awamu ya tatu ilijitahidi kukusanya kodi za mapato, ushuru wa forodha na kodi ya ongezeko la thamani mwaka 1995 mamlaka ya kodi TRA ilikuwa inakusanya Tshs 30 bilioni kwa mwezi lakini baada ya kuongeza bidiii ya kusimamia makusanyo ya kodi alipofika mwaka 2000 makusanyo ya kodi kwa mwezi yalifika Tshs 156 bilioni na hii imeongezeka hadi zaidi ya Tshs 260 bilioni kwa mwezi katika awamu ya nne. Kuongezeka kwa makusanyo ya kodi kulikuwa na faida mbili muhimu. Serikali iliweza kupunguza nakisi ya bajeti ya serekali na hivyo kupunguza kiwango cha fedha ambazo serikali hukopa kutoka kwa mabenki na hasa Benki Kuu. Ukopaji huu wa serikali ukiwa wa kiwango cha juu sana huchangia mfumko wa bei kwa ajili ya kuongezeka kwa mzunguko wa fedha wakati uzalishaji wa bidhaa huwa haungezeki. Mapato ya ndani ya serikali yakiongezeka ukopaji kutoka nchi za nje hupungua la muhimu zaidi ni kwamba uwezo wa kulipa madeni ya wafadhili huongezeka na matokeo yake ni kupata misamaha ya madeni kwa nchi maskini kama Tanzania katika mpango wa HIPC na nchi inakuwa inaaminika na wafadhili kwa kuwa inaonekana inaweza kukopesheka. Serikali iliongeza nidhamu katika matumizi ya fedha za serikali na kupunguza ujazi au ongezeko la fedha kutoka Benki Kuu `money supply` kufuatana na sera ya fedha ya kubana ongezeko la fedha katika uchumi kufikia asilimia 10 - 12 kwa mwaka. Kwa kutumia mikakati kama kuuza dhamana za serikali fedha za ziada katika uchumi (excess liqudity) hupungua na hiki ndicho kinachosaidia kupunguza mfumuko wa bei. Mwaka 1995 mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 30 lakini kufikia mwaka 2002 mfumuko wa bei ulipungua hadi kufika asilimia tano na hadi sasa mfumko wa bei umefikia asilimia 4.4. Hii ina maana bila kuongeza mishahara au mapato mengine kwa wananchi kwa fedha zile zile kwa mwezi kama mapato kushuka kwa mfumko wa bei kunawawezesha walaji kununua bidhaa nyingi zaidi. Bidhaa hizi ni pamoja na vyakula, nguo, viatu na bidhaa za ngozi, gharama za usafiri, bidhaa za ndani kama radio na TV, gharama za burudani na kwa ujumla bidhaa zote za mlaji. Wananchi na kawaida hufaidika na kushuka kwa mfumuko wa bei kwa sababu matumizi ya mwananchi wa kawaida kwa chakula ni zaidi ya asilimia 64% ya mshahara au mapato kwa mwezi ya mwananchi. Kuimarika kwa uchumi mkuu au `macro-economic stability` ni pamoja na ongezeko dogo la bei za bidhaa zote kwa jumla, ubadilishaji wa fedha za kigeni usiobadilika mara kwa mara na vile vile riba za mabenki zinatabirika. Wataalam wa uchumi wanasema kwamba kudhibiti mfumuko wa bei huvutia wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwa sababu inakuwa rahisi zaidi kwa wawekezaji kupanga mpango yao ya biashara. Hii ni pamoja na kujenga mazingira mazuri ya uwekezaji kama kuwa na vivutio vya misamaha ya baadhi ya kodi kwa wawekezaji, uboreshaji wa miundo mbinu, utawala bora na kupiga vita rushwa . Kati ya mwaka 1995 uwekezaji kutoka nje umeongezeka kutoka dola za kimarekani milioni kumi kwa mwaka hadi kufikia dola 350 mnamo mwaka 2004 na juhudi zikifanywa kuvutia uwekezaji kuna uwezo wa kuongezeka kwa uwekezaji hadi kufikia dola 500 milioni kwa mwaka katika kipindi kifupi kijacho na haya yamewezekana kwa kuimarisha uchumi mkuu na hasa kuthibiti mfumuko wa bei. Matokeo ya ongezeko la uwekezaji ni pamoja na kuongeza bidhaa zinazozalishwa soko la ndani kwa bei nafuu na ukuzaji wa ajira na fursa nyingi za kuongeza mapato kwa waajiriwa na wale wanaotoa bidhaa huduma kwa wawekezaji kama sekta ya viwanda na madini. Wakulima wa pamba wanapata soko la ndani kama viwanda vingi vya nguo vikianzishwa. Hivi ni kweli kwa malighafi zote zinazozalishwa katika sekta ya kilimo na kufugwa kwa viwanda vipya vinavyoanzishwa. Lakini watanzania hawategemewi kula uchumi mkuu ulioimarika au `macro-economic Stability. Kuimarika kwa uchumi ni lazima kusaidie ukuaji wa sekta mbalimbali za uchumi na shughuli za kibiashara, viwanda na uzalishaji kwa wawekezaji au micro-economic units.Ukuaji wa uchumi ukawa chini ya . asilimia 4.4 mwaka 1995 na sekta nyingine zikawa hazikui kabisa hasa viwanda ambavyo vilidumazwa na sera mbalimbali ikiwepo kulengeza masharti ya biashara ambapo bidhaa nyingi ziliangizwa kutoka nje ya nchi kwa bei nafuu na hivyo bidhaa za ndani kukosa soko. Kuwa na sera nzuri za biashara, viwanda, madini na utalii kumeongeza uzalishaji katika sekta hizi. sekta ya madini sasa inakuwa kwa asilimia 17 na kuchangia asilimia nne katika pato la Taifa. Sekta ya viwanda inakua kwa asilimia 8.4 na kuchangia asilimia katika pato la taifa. Vilevile sekta ya utalii imekuwa ukifanya vizuri kwa ukuaji wa asilimia 12 na kuchangia asilimia 16 katika pato la taifa na kupata shilingi bilioni 600 fedha za kigeni ikiwa nyuma ya kilimo na madini katika kukuza akiba ya fedha za kigeni. Ili wananchi wanufaike kwa ukuaji wa uchumi kuna umuhimu katika maisha yao kuwa bora zaidi kwa kupunguza umaskini. Ndiyo maana serikali ikabuni MKUKUTA kama sera ya ukuaji uchumi na upunguzaji umaskini. Bajeti kubwa ya serikali inaelekezwa katika sekta za elimu, afya, barabara za vijijini na mapambano zidi ya HIV-Aids, Malaria, TB na magonjwa mengine. Kuimarika kwa uchumi ni lazima kuwezeshe wananchi wengi zaidi kupata huduma za jamii na za kiuchumi. Tanzania ni nchi maskani ambayo asilimia hamsini ya watu wake huushi kwa matumizi ya chini ya dola moja ya kimarekani kwa siku. Hivyo sera ya uwezeshaji, na sera ya kurasimisha mali na biashara katika sekta isiyo rasmi ina lengo la kuongeza ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini. Watalaam wa uchumi wa mashirika ya kimataifa ya fedha na wa hapa nchini wanaamini kuwa kama uchumi ikikua kwa asilimia 8 hadi 10 lengo la kupunguza umaskini litafikiwa. Tanzania ni moja wapo ya nchi ambazo zilitia saini mwaka 1999 kufikia malengo ya milenia (millenum Development Goals) Kuna kila dalili kwa Tanzania itafika baadhi ya malengo hayo ifikapo mwaka 2015 kama uchumi utaendelea kuimarika. Malengo hayo ni kupunguza umaskini wa kipato kwa nusu ifikapo mwaka 2015. Lengo jingine ni kila mtoto anayefika umri wa kwenda shule aingie shule za msingi au (Universal Primary Education) na lengo hili limefikiwa zaidi ya asilimia 90. Malengo mengine ni kupambana na maradhi kama VVU?Ukimwi, TB na Malaria. Kupunguza umaskini ni pamoja na kuondoa njaa na kuongezeka kwa lishe kwa watu walio wengi nchini. Melengo mengine ya milenia ni pamoja na kupunguza vifo vya kina mama wazazi, na vifo vya watoto chini ya miaka mitano malengo mengine ni kuwawezesha akina mama kiuchumi na kuboresha mazingira kwa kuwa na maendeleo endelevu au environmental sustainability` lengo lingine ni kukuza ushirikiano na mataifa mengine katika maendeleo. Kukua kwa uchumi ni lazima kuendane na kupunguza tofauti kati ya wananchi wenye vipato vya juu na wale wenye kipato cha chini. sera za MKURABITA, MKUKUTA vitaweza Tanzania ukuze uchumi na kuongeza fursa za uchumi kwa watu wake wengi au wanavyosema watalaam ?economic groth with social justice. Ukuaji wa uchumi ni lazima ulete maendeleo ya kiuchumi na huduma za jamii kwa sababu kama Mwalimu J. Nyerere alivyokuwa akasema maendeleo ni lazima yaboreshe maisha ya watu. Hivyo ukuaji wa uchumi ni lazima ulete maisha bora kwa Watanzania wote ambalo ni lengo kuu la awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3381237261163594650.post-15453863690983089982007-03-11T00:47:00.000-08:002007-03-11T01:05:24.055-08:00NDIVYO ILIVYO NA HAIBADILIKI TUNAISHI.Hayo ni maneno yaliyozungumzwa na wanandugu wa baba na mama mmoja. Inakuwa vigumu na anaendelea kuniwia vigumu kuvumilia kisa cha dada na kaka kuishi pamoja kama mke na mume na kuzaa watoto.<br />Ni familia moja ya kitajiri ambayo wazazi wao walitengana na kugawna watoto.<br />baba alichukua mtoto wa kiume na mama akamchukua binti yake.<br />Katika makuzi ya watoto hao hawawahi kujuana kuwa ni ndugu kutokana na kila mmoja wao kulelewa na mzazi mmoja na kufichwa juu ya mwenzie. usemi wa hakuna siri duniani unasimama pale wanandugu hao wanapokutana na damu zao kuvutana kiasi cha kila mmoja kuwa na hisia za kimapenzi kwa mwenzie.<br />Hawakuficha hisia zao, kila mmoja aliweka bayana ajisikiavyo kwa mwenziwake. wmisho wa yote waliamua kuishi kama mtu na mpenziwake na wakazaa watoto wanne.<br />mtihani unakuja pale ambapo wanagundua kuwa ni damu moja na jamii kuwataka watengane. hilo limekuwa gumu na kwao halitowezekana kwani kwa sasa wanafanya taratibu za kufunga ndoa. wao wenyewe wanasema wanapendana na hawawezi kuachana.<br />kama ni makosa wao kukutana na kuwa wapenzi si kosa lao bali ni la wazazi wao ambao walishindwa kuwakutanisha mapema.<br />matatizo hayo hutokea mara nyingi pale familia zinapokorogana.<br />lamsingi ni kwamba wanandoa wanaposhindwana , wasiwatenganishe watoto ili kukwepa majanga kama hayo ya mtu na dadake wa kuzaliwa tena baba na mama mmoja wanaishi kma mke na mume na tayari wanawatoto.<br />Ndivyo Dunia ilivyo hivyoo.Aisha Mbagahttp://www.blogger.com/profile/11601174172673120290noreply@blogger.com0