Sunday, May 13, 2007


Mtoto Kaysaan, anapenda kumsalimu kaka yake na kumweleza kuwa, anampenda sana na anamtakia afya njema na masomo mema. pia Kaysaan anamsalimia bibi yake Neema Saidi Mkenga na Familia nzima ya Mzee aidi Mkenga wa Usangi Mwanga. Hakuishia Hapo anamsalimu Mamayake Mpendwa Aisha Sarumbo na kumtakia maisha mema yenye furaha wakati wote, Ujumbe anapenda kumwambia mama yeke kwa awalee kwa mapenzi waweze kupata elimu na upendo kwa wengine. anaedelea kumsalimu baba yake na kumwasa kuwa , Dunia ni Tambara bovu yampasa kuwa makini na maisha yake.
TUPENANE MIMI NA KAKA YANDU AHMEDYSAAN TUWEZE KUPATA BARAKA ZA MUNGU>

No comments: